Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIGONGO AFAFANUA MADHARA YA UGONJWA WA INI

Shigongo akizungumza kwa masikitiko jinsi watu wengi walivyo kwenye hatari ya kufa kwa ugonjwa wa ini. …Akiwa na jopo la madaktari. Kushoto ni Dk. Mtebe Majigo, Mganga Mkuu wa Amana, Meshack Shing'wela (wa pili kulia) na Daktari Kiongozi Andrew Method.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHIGONGO: HOMA YA INI NI UGONJWA KATILI LAZIMA TUUTOKOMEZE

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric Shigongo. Na  Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric Shigongo, ametoa wito kwa Watanzania wote kuungana katika kampeni ya kuutokomeza ugonjwa wa homa ya ini ambao kitaalamu unajulikana kama Hepatitis B. Global Publishers, imeanza rasmi kampeni za kuitokomeza hepatitis B ambazo...

 

11 years ago

GPL

SHIGONGO ASISITIZA KAMPENI YA KUTOKOMEZA HOMA YA INI

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo. Kampeni ya kutokomeza homa ya ini (Hepatitis B), iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, imewekewa wigo mpana wa kufika nchi nzima. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, alimweleza mwandishi wetu kuwa kampeni hiyo imeanzishwa kwa nia ya dhati kabisa ya kumkomboa Mtanzania dhidi ya ugonjwa huo, kwa hiyo mipango imara...

 

11 years ago

GPL

ERIC SHIGONGO APELEKA KAMPENI YA HOMA YA INI ALPHA HIGH SCHOOL

Mkurugenzi wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akitoa elimu juu ya ugonjwa wa Homa ya Ini kwa wanafunzi wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari Alpha. ...Akieleza dalili za ugonjwa wa Homa ya Ini.…

 

11 years ago

GPL

HOMA YA INI: UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI

Makala: Mwandishi Wetu
NI ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini...

 

10 years ago

Mwananchi

Homa ya ini : Ugonjwa hatari uliopuuzwa na jamii nyingi

Watu wengi hawana elimu kuhusu ugonjwa wa homa ya ini ambao unaonekana kuwa hatari kuliko magonjwa yanayoogopeka kama vile Ukimwi.

 

11 years ago

GPL

KAMPENI YA KUPAMBANA NA UGONJWA WA INI KUZINDULIWA RASMI IJUMAA HII

MKURUGENZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo, na wadau mbalimbali wa afya leo walizungumzia madhara ya ugonjwa hatari wa homa ya ini kwenye mkutano na wanahabari uliofanyika Hospital ya Mkoa wa Ilala, Amana Jijini Dar. Uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa huo hatari utafanyika Ijumaa Machi 7, mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

UGONJWA WA TETEKUWANGA (CHICKEN POX) MADHARA YA TETEKUWANGA KWA WAJAWAZITO

Tetekuwanga kitaalamu Chicken Pox, ni ugonjwa unaombukiza na kusababishwa na virusi vinavyojulikana kama Varicella zoster virus.Maambukizi ya tetekuwanga huonekana sana kwa watoto wadogo ingawa hata watu wakubwa pia huyapata.
Katika nchi zenye kupata majira ya baridi, maambukizi ya ugonjwa huu huonekana sana wakati wa kipindi cha majira ya baridi na kipindi cha masika. Maambukizi ya tetekuwanga wakati wa ujauzito yanaweza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

H-baba afafanua siri ya Tanzanite

MSANII wa Bongo Fleva H-Baba, amesema anafarijika kumuita mwanae jina la Tanzanite, moja ya madini ya thamani yanayopatikana Tanzanzania pekee. Kwa mujibu wa H-Baba, mume wa muigizaji Frola Mvungi ambaye...

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani