Shinyanga watakiwa kuombea mchakato wa Katiba
JAMII mkoani Shinyanga imetakiwa kuliombea taifa katika mchakato wa kuunda Katiba mpya, unaoendelea.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BqouDA60qyM/VBKkMFesNXI/AAAAAAAGjF4/4ZKqs7addCQ/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KUTODANYWA KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-BqouDA60qyM/VBKkMFesNXI/AAAAAAAGjF4/4ZKqs7addCQ/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa TCD Mhe. John Cheyo amewataka Watanzania kutodanganywa kuhusiana na mchakato mzima wa kusaka Katiba Mpya.
Kauli hiyo imetolewa leo na Mhe. Cheyo wakati alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha asubuhi cha Jambo kinachorushwa na Televisheni ya Shirika la Habari Tanzania (TBC).
Mhe....
10 years ago
Habarileo06 Apr
Wakristo watakiwa kuombea Jeshi la Polisi
WAKRISTO nchini wametakiwa wakati wakiadhimisha sikukuu ya kufufuka Yesu Kristo (Pasaka) waliombee Jeshi la Polisi ili wasifanyiwe vitendo vya kinyama na baadhi ya watu wenye nia mbaya na nchi.
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Wanawake Temeke kuombea Katiba
MWENYEKITI wa Makanisa ya Kipentekosti Mkoa wa Dar es Salaam, Askofu Bruno Mwakibolwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la maombi ya Taifa kwa ajili ya mchakato wa Katiba mpya....
10 years ago
Habarileo17 Aug
Askofu RC ahimiza kuombea Katiba mpya
MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea mkoani Ruvuma, Damian Dallu amewataka waumini wa kanisa hilo kuuombea kwa dhati mchakato wa Katiba mpya unaoendelea, ili uweze kumalizika salama bila ya kuipitisha nchi katika majaribu ya machafuko.
11 years ago
Habarileo03 Aug
Viongozi wa dini wahimizwa kuombea Bunge la Katiba
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher ole Sendeka amewaomba viongozi wa dini, kuliombea Bunge la Katiba ili kusaidia kupatikana kwa Katiba bora itakayowaongoza Watanzania katika maisha yao ya kila siku.
11 years ago
Habarileo21 Apr
Pengo ahimiza Watanzania kuombea Bunge la Katiba
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycap Kardinali Pengo, ametuma salamu za Pasaka kwa Watanzania wote huku akisisitiza kuliombea Bunge Maalumu la Katiba.