SHIRIKA LA MISAADA LA MAREKANI USAID LAKABIDHI PIKIPIKI 10 BOHARI KUU YA DAWA ZANZIBAR
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Halima Maulid Salum na Mshauri Muandamizi wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID) Bi. Kelly Hamblin wakisaini makabidhiano ya pikipiki 10 kwa ajili ya ufuatiliaji uwepo wa dawa katika vituoni vya afya Wilaya. Hafla hiyo imefanyaka Bohari Kuu la Dawa Maruhubi Mjini Zanzibar.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Halima na Mshauri Muandamizi wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID) Bi. Kelly wakibadilishana hati ya makabidhiano.
Naibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hA1izSRLkQ0/Xq5_PIdyCtI/AAAAAAAAM0A/DTAVajsgMhcDXJiriL0hSUOEV4YTdQwMQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B3.jpg)
SHIRIKA LA MWEDO LAKABIDHI MISAADA KUPAMBANA NA CORONA ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hA1izSRLkQ0/Xq5_PIdyCtI/AAAAAAAAM0A/DTAVajsgMhcDXJiriL0hSUOEV4YTdQwMQCLcBGAsYHQ/s640/K%2B3.jpg)
Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(kulia) walipokabidhi misaada mbalimbali ya usafi kwaajili ya kuunga mkono juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa corona,kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Mwedo,Dk Eliamani Laltaika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7O161su5HQ4/Xq5_TRngLzI/AAAAAAAAM0E/ChGfYgsSCscRK9D5LLxQkE1cs83KtxZrACLcBGAsYHQ/s640/K%2B4.jpg)
Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(wa tatu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL ATEMBELEA BOHARI KUU YA DAWA (MSD) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza na viongozi wa Bohari ya Dawa Jijini Dar es Salaam Dkt Mollel amesema lengo la kutembelea taasisi hiyo ni kuangalia maboresho katika uagizaji, utunzaji na usambazaji wa dawa vifaa tiba na vitendanishi vya maabara ili kuboresha huduma ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_KXlwyJA_Bo/XowUIFoa_mI/AAAAAAALmVM/haPHOMGEJu4Ze__XVxd5tQaZ0SsvX1thQCLcBGAsYHQ/s72-c/734344c8-1d07-43a1-afdd-684135d28df9.jpg)
CAG ABAINI KUWEPO KWA ONGEZEKO LA DENI LA SERIKALI KWA BOHARI KUU YA DAWA
Charles James, Michuzi TV
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nchini (CAG) kwa mwaka ulioisha Juni 2019 imebaini kuwepo kuongezeka kwa deni la serikali kwa bohari kuu ya dawa (MSD) kwa kiasi cha Sh bilioni 16.18 kutoka Sh bilioni 37.48 za mwaka uliopita.
Ukaguzi huo wa CAG una mashaka kuwa ukwasi wa MSD unazidi kushuka hivyo kuathiri utekelezaji wa mipango mbalimbali ikiwemo usambazaji wa dawa na vifaa tiba kwa jamii pamoja na utekelezaji wa mipango yake...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T56Ho0rXFCo/UwYiy9pDnLI/AAAAAAAFOXQ/-1v0oRADaOc/s72-c/DSC_9936.jpg)
MSD yatoa utaratibu wa manunuzi ya dawa ndani ya bohari ya dawa
![](http://2.bp.blogspot.com/-T56Ho0rXFCo/UwYiy9pDnLI/AAAAAAAFOXQ/-1v0oRADaOc/s1600/DSC_9936.jpg)
11 years ago
Michuzi05 Aug
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAKABIDHI MASHINE ZA HYDRAFORM MKOA WA DODOMA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/114.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/25.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/34.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/114.jpg?width=650)
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAKABIDHI MASHINE ZA HYDRAFORM MKOA WA DODOMA
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Shirika la Oxfam lakabidhi vituo vya kusindika na kuhifadhi maziwa kwa wanawake wa wilaya ya Ngorongoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijaribisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, John Kulwa Mgalula (kushoto) akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha...
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Shirika la Oxfam lakabidhi vituo vya kusindika na kuhifadhi maziwa kwa wanawake wa vijiji vinne wilaya ya Ngorongoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijaribisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, John Kulwa Mgalula (kushoto) akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BOHARI YA DAWA MSD