Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shirika la Oxfam lakabidhi vituo vya kusindika na kuhifadhi maziwa kwa wanawake wa wilaya ya Ngorongoro

Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi

Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua  rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa.

Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijaribisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.

 

Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, John Kulwa Mgalula (kushoto) akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania.

Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la Oxfam lakabidhi vituo vya kusindika na kuhifadhi maziwa kwa wanawake wa vijiji vinne wilaya ya Ngorongoro

Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi

Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua  rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa.

Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijaribisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.

 

Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, John Kulwa Mgalula (kushoto) akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania.

Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha...

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKA LA OXFAM LAKABIDHI VITUO VYA KUSINDIKA NA KUHIFADHI MAZIWA KWA WANAWAKE WA VIJIJI VINNE VYA WILAYA YA NGORONGORO

Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua  rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijalibisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.
  Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula wa kwanza kushoto akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha Engaresero...

 

11 years ago

Michuzi

KANISA LA TAG (TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD) LAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA 1300 KWA HOSPITALI NA VITUO VYA AFYA MKOANI RUKWA

Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Jimbo la Rukwa Mchungaji Nestory Watua akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Ndugu Methew Sedoyyeka vyandarua 1300 vya kukinga mbu waenezao Malaria kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya tarehe 04/07/2014. Msaada huo ni sehemu ya vyandarua 8550 vitakavyotolea na Kanisa hilo kwa Mikoa ya Mbeya, Njombe na Rukwa katika kuadhimisha  Jubilee ya miaka 75 ya Kanisa hilo nchini. Pamoja na zoezi la ugawaji vyandarua hivyo...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE HANANG' WANUFAIKA NA MRADI WA KILIMO KUTOKA SHIRIKA LA OXFAM & UCRT



Felista Giyam mhasibu wa kikundi cha hamasa ameiomba serikali kuona uwezekano wa kutafuta masoko kwa mazao ya wakulima kwani wamekuwa wakilima kwa muda mrefu lakini wanakosa masoko hivyo kuwakatisha tamaa licha ya kukiri kuwa wamekuwa na faida kwa wastani japo soko linaendelea kuwa kikwazo licha ya kwamba pia wakulima wamekuwa wakitumia gharama kubwa katika pembejeo za kilimo

Anna Iselu mbaye ni mhasibu wa kikundi cha wanawake na vijana cha Gosanga anasema mradi huo utawafanya kutokuonekana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maziwa ya kusindika ‘yawaliza’ wafugaji nchini

UINGIZWAJI wa maziwa ya kusindikwa kutoka nchi jirani unawakatisha tamaa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa nchini hatua ambayo inaweza kusababisha wafugaji kuiacha biashara hiyo. Changamoto hiyo imetolewa na Katibu Mtendaji...

 

10 years ago

Michuzi

TMA KUJENGA VITUO VYA HALI YA HEWA KWENYE MAZIWA YA VICTORIA,TANGANYIKA NA NYASA

Meneja wa Huduma za Utabiri wa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), Samwel Mbuya (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu kufungua vituo vya kutolea huduma za hali ya Hewa katika maziwa ya Victoria,Tanganyika na Nyasa.Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA),Monica Mutoni.
Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania (TMA) imedhamiria kufungua Ofisi za Kutolea huduma za hali ya Hewa ili kupunguza ajali katika maziwa hapa...

 

5 years ago

Michuzi

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO

MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.

Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA MWEDO LAKABIDHI MISAADA KUPAMBANA NA CORONA ARUSHA


Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(kulia) walipokabidhi misaada mbalimbali ya usafi kwaajili ya kuunga mkono juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa corona,kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Mwedo,Dk Eliamani Laltaika.

Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(wa tatu...

 

11 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAKABIDHI MASHINE ZA HYDRAFORM MKOA WA DODOMA

1Meneja wa NHC Mkoa wa Dodoma Bw. Itandula Gambalagi akikabidhi mashine 28 kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi katika hafla iliyofanyika katika ofisi za mkuu wa wilaya ya Chamwino. 2 Mkufunzi kutoka VETA akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa jinsi mashine hizo zinavyofanya kazi 3Mkuu wa mkoa Dr Rehema Nchimbi akikabidhi mashine kwa wakuu wa wilaya za Chamwino na Kongwa kwa niaba ya wakuu wa wilaya zote za mkoa wa Dodoma. (Picha kwa hisani ya kittengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani