shukurano toka libeneke la jimmcarter.com
![](http://3.bp.blogspot.com/-_d028RCi4PA/VDzxb6wTbXI/AAAAAAAGqdU/rwst3QhEz_A/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Napenda kutoa shukrani kwa uongozi wa Michuzi blog {BLOG YA JAMII} kwakile ambacho nimeweza kukipata kutoka kwenu. Mimi ni kijana wa miaka 20 Niko Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha {AJTC} nachukua diploma ya utangazaji wa radio na Tv
Ni moja ya watu ambao nilikuwa nikipenda sana kazi za michuzi blog nakutamani siku moja kuwa kama yeye. Nashukuru Mungu Ndoto zimetimia sasa natambulika Arusha nzima, na Uongozi wa chuo unanitumia kama mfano wa kuigwa kwa wanafunzi wengine...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKAMPUNI 1500 TOKA HAPA NCHINI NA 400 TOKA NJE YA NCHI YATARAJIWA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABA SABA MWAKA 2015
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Phc0l93BWBM/VNhj5v0LtmI/AAAAAAAHCiU/xcrzD9CYsU4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B9.38.00%2BAM.png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KywXtLeoPyQ/U9Ip9kUgasI/AAAAAAAF6Gw/yXqBGKs2X7c/s72-c/1.png)
LIBENEKE JIPYA LA HABARIKA24
![](http://1.bp.blogspot.com/-KywXtLeoPyQ/U9Ip9kUgasI/AAAAAAAF6Gw/yXqBGKs2X7c/s1600/1.png)
Hivyo ifungue sasa kupitiawww.habarika24.blogspot.com
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_x3_l8RBic/U4jo7IigK3I/AAAAAAAFmoI/o__oVPsUdWY/s72-c/image002+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LA_aTXYkvdM/VTcsN_TLFnI/AAAAAAAHSZQ/AcRfC4maBWQ/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-znDOLZhi5G8/VWM3rByrnxI/AAAAAAAHZss/IwiIKFiGEmY/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-25%2Bat%2B5.51.50%2BPM.png)
LIBENEKE LIPYA LA KIJANA NI KIONGOZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-znDOLZhi5G8/VWM3rByrnxI/AAAAAAAHZss/IwiIKFiGEmY/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-25%2Bat%2B5.51.50%2BPM.png)
Tembelea Libeneke jipya la Kijana ni Kiongozi kwa kubofya link hiyo.
http://www.kijananikiongozi.com/
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--gZYKOFyBbI/U9AkEdJv7GI/AAAAAAAF5Tg/o4hE7h46F5I/s72-c/PhotoGrid_1405097544050.jpg)
introducing libeneke la Sweet Escape TZ
![](http://1.bp.blogspot.com/--gZYKOFyBbI/U9AkEdJv7GI/AAAAAAAF5Tg/o4hE7h46F5I/s1600/PhotoGrid_1405097544050.jpg)
We put love and dedication into every single one of our events and deliver the highest degree of customized service.There is no small event for...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XZwtlBf3Xdc/VEE4cpkM5dI/AAAAAAAGrW8/9pJxl_eC6AM/s72-c/unnamed.jpg)
introducing libeneke jipya la monstergala
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZwtlBf3Xdc/VEE4cpkM5dI/AAAAAAAGrW8/9pJxl_eC6AM/s1600/unnamed.jpg)
Ankal Michuzi, Salam nyingi na hongera sana. Katika kuendeleza libeneke, nami nimeona sina budi kuunga mkono juhudi za kukuza lugha yetu kwa njia hii. Naomba nitangaze blogu mpya ya kawaida lakini yenye mambo yanayovutia sana kusoma na kufahamu.
Blogu hii itajikita zaidi katika kuelezea mambo mbalimbali kwa muundo mwepesi na kwa Kiswahili ili kukuza uelewa wa mambo mengi katika jamii yetu ambayo yameachwa katika lugha ngumu za kisayansi na hivyo kuwanyima fursa watu wengi kuyafahamu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zL4u9LxGvjs/VLelp2pbhrI/AAAAAAAG9gA/ajvyVlnBQvo/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
LIBENEKE LA MSAADA WA KISHERIA LAFUNGULIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zL4u9LxGvjs/VLelp2pbhrI/AAAAAAAG9gA/ajvyVlnBQvo/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
Wakili Emmanuel Augustino ameanza kuwafikia wahitaji wa msaada wa sheria kwa kutumia blog yake ya wakiliwangu.blogspot.com.
"Kupitia blog hii, tunatoa ushauri wa kisheria wa mambo yanayohusu mirathi, ununuzi au uuzaji wa ardhi, kesi za jinai na madai, kuanzisha kampuni na mambo mengine tofauti ya kisheria," alisema Wakili...