Shule ya Olmolog Vet yasitishiwa misaada
Mwekezaji Peter Jones, raia wa Uingereza amesitisha utoaji misaada ya kijamii kwa wakazi wa Ndarakwai wilayani Siha kutokana na kundi la wafugaji wa Kimasai kuvamia kambi yake ya kitalii na kuiteketeza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Nov
MKE WA KIPINGU AMWAGA MISAADA KWA SHULE ZA MONTESORY, ULONGONI B
Misaada hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya Zugo Gold Mining ambaye pia ni Mwakilishi wa Wanawake na Maendeleo ya Vijana na Ajira kwa Wachezaji wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Zuwena Idd Kipingu, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya shule hizo mwishoni mwa wiki.
Akizungumza...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ys404UjqV-I/U9GHO6ASJHI/AAAAAAAF550/nORQAW_XBm8/s72-c/unnamed+(14).jpg)
misaada yamiminika shule ya Irkisongo wilayani monduli iliyounguliwa na mabweni yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-ys404UjqV-I/U9GHO6ASJHI/AAAAAAAF550/nORQAW_XBm8/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FCho394lD7Y/U9GHOl6NwLI/AAAAAAAF55g/eHigeqCM66E/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-szQqurT17Nc/U9GHOwxHDuI/AAAAAAAF55k/qWzIB94PPHs/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I9gClq99hqU/U9GHP2VCzpI/AAAAAAAF55s/Vdz4g725_GE/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Arusha(CCM) Namelok...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Makampuni yasitishiwa mikataba
HALMASHAURI ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora imesitisha mikataba ya makampuni matatu ya ujenzi wa barabara kutokana na kushindwa kukamilisha mikataba yao kwa mwaka wa fedha 2012/2013. Mkurugenzi mtendaji wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xQ0BzVIchVw/Xk9oIIzN6KI/AAAAAAALeno/kpOhiNhpk_saIwlppuLgoKFvKXX-5-yMgCLcBGAsYHQ/s72-c/fec2b9cf-a54a-4b9d-b607-f4b8464dc9be.jpg)
MDAU WA WATU WENYE UALBINO JOSEPH GORYO ATOA MISAADA SHULE YA MITINDO, MWANZA
MDAU mkubwa wa mambo ya jamii ikiwemo Elimu, Wanawake, Watoto na watu wenye Ualbino Joseph Goryo ametoa misaada mbalimbali shule ya msingi Mitindo iliyoko Wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Misaada hiyo maalum iliyotolewa kwa ajili ya watoto wanaolelewa shuleni hapo ni pamoja na: kandambili PC 100, mashuka 104, masweta ya shule 25, Sketi 10 na miwani kwa watoto wenye ualbino wanaolelewa na kusomea shule hiyo.
Akikabidhi misaada hiyo, Goryo amewaomba wadau mbalimbali kuitembelea shule ya msingi...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Pinda aendelea kupokea misaada ya vifaa mbalimbali kusaidia shule mpya ya msingi Kakuni Mkoani Katavi
Mwakilishi wa Kampuni ya HUAWEI nchini Tanzania Bw. Jimmy Liguo Jin (kushoto) akimkabidhi Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda sehemu ya msaada wa kompyuta mpakato zilizotolewa na kampuni hiyo kusaidia wanafunzi wa shule mpya ya Msingi ya Kakuni iliyo katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi leo jijini Dar es salaam. Shule hiyo ya kisasa imeanzishwa kufuatia wazo la Wazo la Waziri Mkuu, Mhe.Mizengo Pinda la kuwa na shule Bora na ya kisasa katika kijiji hicho na inajengwa kupitia michango na...
9 years ago
TheCitizen14 Sep
Magufuli promises cheaper vet drugs
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-QlFeShnLU/VfwO40bnW9I/AAAAAAAH510/NZaohcqfnSk/s72-c/PM%2B-1.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA KUPOKEA MISAADA YA VIFAA MBALIMBALI KUSAIDIA SHULE MPYA YA MSINGI KAKUNI MKOANI KATAVI
Pinda amepokea misaada hiyo kutoka Kampuni hizo kwa lengo la kuzindua mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni katika kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi.
Shule ya Msingi Kakuni iliyopo kijiji cha Kibaoni Mkoani Katavi ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu huyo Mhe,Mizengo Pinda.
Mradi huo wa...
10 years ago
TheCitizen12 Jul
Drama as NEC meets to vet CCM presidential aspirants
10 years ago
MichuziShule ya sekondari ya Kutukutu Morogoro wafaidika na mradi wa "Airtel Shule Yetu"
Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni mbili umekabidhiwa hivi karibu na wawakilishi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ikiwa ni mpango wa SHULE YETU unaosimamiwa na kampuni hiyo.
Akipokea msaada huo kwa niaba ya walimu na wanafunzi wa shule hiyo mkuu wa shule ya sekondari Kutukutu Finyilise Elias amesema,...