Makampuni yasitishiwa mikataba
HALMASHAURI ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora imesitisha mikataba ya makampuni matatu ya ujenzi wa barabara kutokana na kushindwa kukamilisha mikataba yao kwa mwaka wa fedha 2012/2013. Mkurugenzi mtendaji wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Shule ya Olmolog Vet yasitishiwa misaada
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
TIGO yashiriki bonanza la michezo la makampuni
Timu ya kampuni ya Tigo ikiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya mchezo wenye lengo la uhusiano bora wa makampuni.
Wachezaji wa Kampuni ya Tigo na Caspian wakichuana kwenye mpambano mkali jana viwanja vya Chuo cha Ardhi.
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
TCAA yashauri makampuni ya ndege kujiunga
MAMLAKA ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imewashauri wawekezaji wa makampuni ya ndege hapa nchini kujiunga na kuanzisha kampuni moja ili kujitanua katika soko la anga. Ushauri huo ulitolewa jana...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Brela yatoa siku 90 kwa makampuni
Na Mwandishi wetu
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) umetoa siku 90 kwa wamiliki na wakurugenzi wa makampuni kuwasilisha taarifa zao za mwaka za mahesabu zilizokaguliwa na Mhasibu anayetambuliwa kisheria, vinginevyo kampuni zao zitafutwa na wao kuchukuliwa hatua za kisheria.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa wakala huo na Msajili wa Makampuni, Frank Kanyusi, aliwaambia waandishi wa habari jiji Dar es Salaam jana kuwa wamiliki na wakurugenzi hao wa makampuni wanatakiwa kutumia siku hizo...
9 years ago
Bongo531 Dec
TCRA yayashushia nyundo makampuni matano ya simu
![CKcRps5WwAAQTbR](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/CKcRps5WwAAQTbR-300x194.jpg)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu kwa kampuni za simu za mkononi Tanzania kulipa shilingi milioni 25 kwa mamlaka hiyo kama adhabu ya kushindwa kusimamia usalama wa watumiaji wa huduma za Mawasiliano.
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Ally Y. Simba
Hii ni taarifa kamili:
1. Katika shughuli zake za udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini, Mamlaka ya Mawasilaino Tanzania imepokea malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano dhidi ya kuwepo mazingira yasiyo salama...
10 years ago
MichuziWAEKEZAJI WA MAKAMPUNI YA UBELGIJI WAFANYA ZIARA ZANZIBAR.
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Makampuni 37 yashiriki maonyesho ya siku ya Malaria nchini
Mkurugenzi wa kampuni ya Frontline Porter Novelli Bi. Irene Kiwia akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Suleiman Rashid kwenye maonyesho ya siku ya malaria yaliyofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid alipotembelea banda la malaria safe lililokuwa linasimamiwa na wafanyakazi wa Johnhopkins University kwenye maonyesho ya siku ya Malaria.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jTJPzq9Ze28/VIgxTn0lf3I/AAAAAAAG2U8/bPs8J5zvki8/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
VODACOM CHALI KATIKA FAINALI YA LIGI ZA MAKAMPUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-jTJPzq9Ze28/VIgxTn0lf3I/AAAAAAAG2U8/bPs8J5zvki8/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OLp5pHrL2Io/VIgxT1pUjoI/AAAAAAAG2U0/I9dVTM1iHCc/s1600/unnamed%2B(26).jpg)