Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VODACOM CHALI KATIKA FAINALI YA LIGI ZA MAKAMPUNI

Mchezaji wa Timu ya Vodacom Tanzania, Osca Coby akiwatoka wachezaji wa Timu ya CRDB katika fainali ya ligi za makampuni iliyofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Laureate International School jijini Dar es Salaam,CRDB waliilaza Vodacom1-0. Mchezaji wa Timu ya Vodacom, Carlos Sylvester (kushoto) akitafuta mbinu ya kumtoka mchezaji wa timu ya, BQ CONTRACTORS, Emil Michael katika fainali ya ligi ya makampuni iliyofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Laureate International School jijini Dar es...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VODACOM CHALI KATIKA FAINALI YA LIGI ZA MAKAMPUNI‏

Mchezaji wa Timu ya Vodacom, Osca Coby akiwatoka wachezaji wa Timu ya CRDB wakati wa bonanza lililofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Laureate International jijini Dar es Salaam. Mchezaji wa Timu ya Vodacom, Carlos Sylvester (kushoto) akitafuta mbinu ya kumtoka mchezaji wa timu ya, BQ CONTRACTOR, Emil Michael katika mchezo wa Bonanza uliofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Laureate International jijini Dar es Salaam.… ...

 

10 years ago

GPL

BAYERN MUNICH KUKWAANA NA BARCELONA KATIKA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO

MECHI:     Bayern Munich vs Barcelona LIGI:         Ligi ya Mabingwa Ulaya HATUA:    Nusu Fainali MUDA:     Saa 3:45 usiku UWANJA: Allianz Arena

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

10 years ago

Michuzi

MAKUNDI MATANO YAINGIA FAINALI YA DANCE 100%CHINI YA VODACOM

Washiriki wa shindano la dance 100% wa kundi la”Wakali sisi” Buguruni jijini Dar es Salaam,wakionesha umahiri wao wa kudansi wakati wa mchuano wa nusu fainali ya shindano hilo lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lililofanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,Makundi 5 kati ya 10 yameingia fainali itakayofanyika mwezi ujao.Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,akikausha maji ya mvua iliyokuwa ikinyesha kwa wingi wakati shindano la nusu fainali...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

10 years ago

Habarileo

Vodacom kuendelea kudhamini ligi

SHIRIKISHO la Mpira la Soka Tanzania (TFF) limesaini mkataba mpya wa miaka mitatu wa udhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.

 

10 years ago

GPL

BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Neymar, Luis Suarez na Lionel Messi wakishangilia bao. BARCELONA imefanikiwa kufuzu hatua ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya kufungwa mabao 3-2 na Bayern Munich usiku huu jijini Munich nchini Ujerumani. Thomas Muller akiifungia Bayern bao la tatu usiku huu. Barcelona imefuzu kwa jumla ya mabao 5-3 baada ya kupata ushindi wa 3-0 katika mechi yao ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Bayern huko Hispania.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani