Brela yatoa siku 90 kwa makampuni
Na Mwandishi wetu
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) umetoa siku 90 kwa wamiliki na wakurugenzi wa makampuni kuwasilisha taarifa zao za mwaka za mahesabu zilizokaguliwa na Mhasibu anayetambuliwa kisheria, vinginevyo kampuni zao zitafutwa na wao kuchukuliwa hatua za kisheria.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa wakala huo na Msajili wa Makampuni, Frank Kanyusi, aliwaambia waandishi wa habari jiji Dar es Salaam jana kuwa wamiliki na wakurugenzi hao wa makampuni wanatakiwa kutumia siku hizo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Brela yatoa siku 90 kwa kampuni kuwasilisha hesabu
10 years ago
Michuzi25 Jun
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini
Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bw. Ridhiwan Wema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.
Frank-Mvungi-Maelezo
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waansishi wa habari.
Makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrx7dAk4dBzPodL0NpZJsXgbXFr0*Fl-kj7Yur8a9-yb1Ig*w0TbVQ3LA7yI0jculjqtN8EIgVY942*l5NUBka1B/2Pichana3.jpg?width=650)
MAHAFALI YA 49 CHUO CHA CBE YAFANA, SERIKALI YATOA ANGALIZO KWA MAKAMPUNI YANAYOAJILI WAFANYAKAZI WENGI KUTOKA NJE YA NCHI
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Mahafali ya 49 chuo cha CBE yafana, Serikali yatoa angalizo kwa makampuni yanayoajiri wafanyakazi wengi kutoka nje ya nchi
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 49 ya Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam akiimba wimbo wa Taifa wakati wa ufunguzi rasmi wa mahafali hayo jijini Dar es salaam. Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Mathew Luhanga (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Emanuel Mjema.
Na. Aron Msigwa – Dar es salaam.
SERIKALI imewataka watendaji na wamiliki wa...
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Marekani yatoa orodha ya makampuni yanayomilikiwa na Jeshi la China na kuonya
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Makampuni 37 yashiriki maonyesho ya siku ya Malaria nchini
Mkurugenzi wa kampuni ya Frontline Porter Novelli Bi. Irene Kiwia akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Suleiman Rashid kwenye maonyesho ya siku ya malaria yaliyofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid alipotembelea banda la malaria safe lililokuwa linasimamiwa na wafanyakazi wa Johnhopkins University kwenye maonyesho ya siku ya Malaria.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
NEC yatoa uhuru kwa waandishi siku ya uchaguzi