Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCRA yayashushia nyundo makampuni matano ya simu

CKcRps5WwAAQTbR

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu kwa kampuni za simu za mkononi Tanzania kulipa shilingi milioni 25 kwa mamlaka hiyo kama adhabu ya kushindwa kusimamia usalama wa watumiaji wa huduma za Mawasiliano.

CKcRps5WwAAQTbR
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Ally Y. Simba

Hii ni taarifa kamili:

1. Katika shughuli zake za udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini, Mamlaka ya Mawasilaino Tanzania imepokea malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano dhidi ya kuwepo mazingira yasiyo salama...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu

Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kubadilika kwa vifurushi vya mawasiliano. Malalamiko hayo yalikuja baada ya baadhi ya mitandao ya simu kupunguza ukubwa wa data anazopata mtumiaji wa simu anapojiunga na vifurushi vya muda wa maongezi, sms na data kwa pamoja. Baadhi […]

 

11 years ago

Ykileo

TUJIKUMBUSHE MATUKIO MAKUBWA MATANO YAKIDUKUZI KATIKA MAKAMPUNI MAARUFU

Tukiwa tupo ndani ya Mwezi wa kuhamasisha uelewa wa matumizi salama ya mitandao, Marufu kama “NATIONAL CYBERSECURITY AWARENESS MONTH” nimeona si vibaya tukajikumbusha matukio muhimu matano ya kiuhalifu mtandao yaliyojiri mwaka huu.


Huku mataifa mbali mbali yakiendelea kujipanga katika mapambano dhidi ya uhalifu mtandao, bado matukio ya kiuhalifu mtandao yameendelea kuitikisa dunia. Yafuatayo ni matukio matano niliyo chagua kuyajadili siku ya leo.


NEIMAN MARCUS


Mwezi wa pili mwaka huu wa 2014,...

 

9 years ago

Global Publishers

Makampuni ya Simu za Mkononi Yapigwa Faini ya Sh. Mil 25

TCRA (1)Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya  Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Ally Simba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na makampuni ya simu  za mkononi ya Tigo, Airtel, Halotel na Zantel na Smart kwa kuto kukidhi vigezo. Pia amesema kuwa Makampuni hayo yamepigwa faini ya shilingi milioni 25 kwa mamlaka ya mawasiliano Tanzania kabla ya Januari 29 mwakani.
TCRA (3)Mwanasheria wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Elizabeth Zagi akifafanua jambo mbele ya waandishi wa...

 

11 years ago

Bongo5

Makampuni ya simu Tanzania kuanza kuuza hisa kwa wananchi mwakani

Tanzania inatarajia kuanza kuona makampuni ya simu yakiweka hisa zake kwenye soko la hisa kupitia sheria ya lazima inayolenga kuwasaidia wananchi wake kumiliki sehemu ya moja viwanda vinavyokua kwa kasi zaidi barani Afrika. Naibu waziri wa mawasiliano, sayansi na teknolojia, January Makamba yupo kwenye hatua za mwisho ya kuhakikisha makampuni ya simu yanaweka hisa zake […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCRA yawataka mafundi simu kujisajili

MAFUNDI simu wameshauriwa kujisajili Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili waweze kufanya kazi zao kwa kufuata sheria na utaratibu uliopo. Wito huo ulitolewa jana na Naibu Mkurugenzi Masuala ya Watumiaji...

 

10 years ago

Mwananchi

TCRA yaamuru kampuni za simu kutenganisha vifurushi

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kuanzisha vifurushi vinavyotenganisha huduma za inteneti, sauti na meseji ili kuwapatia machaguo wananchi na kuwapunguzia gharama zisizo za lazima.

 

9 years ago

StarTV

TCRA yaziadhibu Kampuni Tano za simu za mkononi

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu kwa kampuni za simu za mkononi Tanzania kulipa shilingi milioni 25 kwa mamlaka hiyo kama adhabu ya kushindwa kusimamia usalama wa watumiaji wa huduma za Mawasiliano

Adhabu hiyo imetokana na kampuni hizo za Simu zikiwemo  Aitel, Tigo, Zantel, Smart, na Halotel kushindwa kutekeleza agizo la TCRA lililowataka kudhibiti wimbi la wezi wanaotumia mitandao hiyo kuwaibia wateja.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania-TCRA, Dkt. Ally...

 

10 years ago

Dewji Blog

TCRA yatoa taarifa kuhusu tozo kwenye simu

1

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Mkoma.

taarifa_kwa_UmmaGharama_za_Vifurushi_Feb_2015.pdf by moblog

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!

DSC_0072

Ofisa Habari Mwandamizi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prisca Ulomi, akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na Maktaba)

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.

Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani