Shule ya Wama yapewa gari
TAASISI ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imepatiwa msaada wa gari na Kampuni Ashok Leyland kwa ajili ya shule ya Wama Nakayama iliyopo Rufiji Mkoani Pwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
TANGAZO- Nafasi za kujiunga na kidato cha Kwanza- Shule za Sekondari WAMA NAKAYAMA na WAMA SHARAF
TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2016.doc
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2GPuD28HkY4/VjLwR4bkI0I/AAAAAAAIDcw/_fUmPkoXckc/s72-c/w1.png)
NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA- SHULE ZA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA RUFIJI NA WAMA SHARAF LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2GPuD28HkY4/VjLwR4bkI0I/AAAAAAAIDcw/_fUmPkoXckc/s640/w1.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-A-uJIafh4vE/VjLwODce8dI/AAAAAAAIDck/ZkfUJkYcX8I/s640/w2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NFonGVfxtXg/VjLwN3KG1rI/AAAAAAAIDcg/B8VLKW-Au1Y/s1600/w.jpg)
Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inatangaza nafasi za kidato cha kwanza kwa wasichana katika Shule zake mbili za Sekondari:
(1) Shule ya Sekondari WAMA - Nakayama iliyopo Kijiji cha Nyamisati Wilaya ya Rufiji , Mkoa wa Pwani:(2) Shule ya Sekondari ya WAMA- Sharaf iliyopo Mitwero katika Manispaa ya Lindi
WAMA ni Taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa na Mhe. Mama Salma...
11 years ago
Habarileo20 May
Shule ya Kilakala yapewa maabara ya kompyuta
BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi maabara ya kompyuta kwa Shule ya Msingi Kilakala iliyopo wilayani Temeke, Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya shughuli zake za kijamii katika kukuza uwezo wa maendeleo miongoni mwa vijana nchini.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eIqjdani8g8/U5YJ8f0XT1I/AAAAAAAFpWs/VSlubaL8fmc/s72-c/Mama-Kikwete.jpg)
Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama wapewa msaada wa basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-eIqjdani8g8/U5YJ8f0XT1I/AAAAAAAFpWs/VSlubaL8fmc/s1600/Mama-Kikwete.jpg)
Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama inayomilikiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imepatiwa msaada wa basi na kampuni ya Ashok Leyland ya jijini Dar es Salaam.
Makabidhiano ya basi hilo yamefanyika leo katika viwanja vya Taasisi hiyo iliyopo wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Akiongea mara baada ya makabidhiano hayo Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete aliwashukuru viongozi wa kampuni hiyo kwa msaada walioutoa na kusema anaamini msaada huo...
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Walezi wa Shule ya Wasichana ya WAMA-Nakayama wapigwa msasa
Mkuu wa Kitengo cha Uragibishi na Mawasiliano kutoka Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Ndugu Philomena Marijani akiwakaribisha walimu na wageni waalikwa wakati wa sherehe ya ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu wa Shule ya Sekondari WAMA-Nakayama iliyoko katika Kijiji cha Nyamisati huko Wilayani Rufiji yaliyofanyika shuleni hapo tarehe 15.9,2014.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Walezi wameaswa kuwaelimisha, kuwalinda, kuwaandaa na kuwajali watoto wa kike namna ya kupambana na...
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Mahafali ya pili ya shule ya WAMA Nakayama yafana Nyamisati Rufiji
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro (katikati ), akikata utepe akizindua zahanati kwa ajili ya matibabu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani Rufiji mkoani Pwani wakati mahafali ya pili yaliyofanyika Octoba 27,2014 (kulia), Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, na kushoto ni Kaimu Balozi wa Japan nchini, Kazuyoshi Matsu.
Wangeni waalikwa wakiimba wimbo wa Taifa kabla...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aeRtHEnXSSU/VEpfWnPEw7I/AAAAAAAGtLE/3-POLaBKhMc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-10-24%2Bat%2B5.08.43%2BPM.png)
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mke wa Rais wa China aipa msaada Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifanya mazungumzo rasmi na mwenyeji wake Mke wa Rais wa China Mama Peng Liyuan.
Na Anna Nkinda – Beijing, China
Mke wa Rais wa China Mama Peng Liyuan ameahidi kutoa vifaa vya shule vikiwemo vya maabara pamoja na vitabu kwa ajili ya shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama ili wanafunzi hao waweze kusoma vizuri masomo ya sayansi.
Mama Liyuan aliitoa ahadi hiyo jana wakati akiongea na mke wa Rais Mama Salma Kikwete katika ukumbi maarufu wa watu (Great hall of...