Shule za Biharamulo zapewa madawati 350
SHULE tano za msingi katika kata ya Kaniha wilayani Biharamulo mkoani Kagera, zimenufaika na msaada wa madawati 350 yenye thamani ya Sh milioni 17.5, yaliyotolewa na kampuni ya Stamigold inayoendesha mgodi wa Biharamulo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Mar
Shule za Dar, Pwani zapewa baiskeli 317
BAISKELI 317 zimetolewa kwa ajili usafiri kwa wanafunzi wanaoishi mbali na shule katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani. Msaada huo umetolewa na taasisi ya Uholanzi inayojihusisha na uboreshaji wa elimu (Niche) kwa kushirikiana na Taasisi ya Elimu nchini (TET).
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Shule ya Magole yapatiwa madawati
SHULE ya Msingi Magole iliyopo wilayani Kilosa, Morogoro imepatiwa msaada wa madawati 32 na Benki ya Posta Tanzania yenye thamani ya sh milioni tano. Meneja wa benki hiyo tawi la...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Shule za msingi zahitaji madawati milioni 3
SERIKALI imesema shule za msingi nchini zinahitaji jumla ya madawati milioni 3.3 na kwamba yaliyopo ni milioni 1. 8. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi...
10 years ago
Habarileo10 Jun
CRDB yakabidhi madawati 100 shule ya Mwenge
SHULE ya msingi Mwenge iliyopo manispaa ya Shinyanga imepatiwa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya Sh milioni kumi kutoka benki ya CRDB .
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9mxzB7OsylY/VakDz26LLrI/AAAAAAAHqQs/zlsmw_7oQCA/s72-c/unnamed%2B%252887%2529.jpg)
NMB YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE YA MSINGI KISEKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-9mxzB7OsylY/VakDz26LLrI/AAAAAAAHqQs/zlsmw_7oQCA/s640/unnamed%2B%252887%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vmg5UXSut6U/VakD0GbZZoI/AAAAAAAHqQw/jUb6RDi-Xrk/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA NIC YATOA MADAWATI 25 SHULE YA MSINGI CHAMANZI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii BENKI ya NIC imetoa msaada wa madawati 25 katika shule ya msingi Chamanzi yenye thamani ya Sh.Milioni tatu kutokana na shule hiyo kukabiliwa na changamoto ya madawati.
Akizungumza baada ya kukabidhi madawati hayo, Mkuu wa Biashara za Kibenki,Rahim Kanjii amesema kuwa shule hiyo waliona ina...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i_BQ2463uMU/VkDy-yC2B1I/AAAAAAAIFH0/CadFAzI4WWw/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
Msaada wa madawati kwa shule 15 za mikoa ya Dar es Salaam na Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-i_BQ2463uMU/VkDy-yC2B1I/AAAAAAAIFH0/CadFAzI4WWw/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
11 years ago
MichuziMh. Ndugulile akabidhi madawati 650 kwa Shule 12 Tarafa ya Mbagala