Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shule zafunguliwa Liberia

Shule zafunguliwa tena huko LiberiaWanafunzi wakisaidia kufyeka nyasi shuleni katika siku yao ya kwanzaWalimu wakiwapokea wanafunzi baada ya kufungwa shule kwa muda mrefu
Kuanzia leo shule nchini Liberia zinaendelea kutoa mafunzo baada ya kufungwa kwa miezi kadhaa kufuatia mlipuko wa Ebola.

Huku kukiwepo vifo vya karibu watu 4000, Liberia imekuwa nchi iliyoathirika zaidi katika nchi tatu zilizogubikwa na janga hilo,

lakini wiki kadhaa zilizopita maafisa wa serikali wameamua kwamba kupungua kwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zafunguliwa Liberia

Maelfu ya wanafunzi wamerejea mashuleni hii leo huko liberia baada ya kufungwa kwa muda mrefu kufuatia mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola

 

9 years ago

BBCSwahili

Shule zafunguliwa tena Kenya

Shule nchini Kenya zimefunguliwa tena baada ya walimu kusitisha mgomo wao uliokuwa umedumu kwa wiki tano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zafunguliwa Sierra Leone

Shule zinafunguliwa leo nchini Sierra Leone tangu mwezi Julai mwaka uliopita zilipofungwa kutokana na mlipuko wa Ebola

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zaendelea kufungwa Liberia

Liberia imehairisha kufunguliwa kwa shule nchini kutokana na sababu kuwa hazijajiandaa kikamilifu kuzuia kusambaa kwa ebola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zote zafungwa Liberia

Rais wa Liberia ametangaza kufungwa kwa shule zote katika jitihada za kuzuia kuenea kwa Ebola.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Baadhi ya sehemu za mji wa Wuhan zafunguliwa baada ya kufungwa kuzuia maambukizi China

Watu wanaingia katika mji wa Wuhan wa China ambapo mlipuko wa virusi vya corona ulianza

 

10 years ago

GPL

WAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO

Katibu mkuu wa Wizara ya Tamisemi Jumanne Sagini akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Serikali…

 

10 years ago

Michuzi

Shule ya sekondari ya Kutukutu Morogoro wafaidika na mradi wa "Airtel Shule Yetu"

Uongozi wa shule ya sekondari ya Kutukutu iliyopo wilayani kilosa mkoani Morogoro, umeishukuru kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa msaada wa vitabu vya masomo ya sayani.
Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni mbili umekabidhiwa hivi karibu na wawakilishi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ikiwa ni mpango wa SHULE YETU unaosimamiwa na kampuni hiyo.
Akipokea msaada huo kwa niaba ya walimu na wanafunzi wa shule hiyo mkuu wa shule ya sekondari Kutukutu Finyilise Elias amesema,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani