Shule zafunguliwa Liberia
Shule zafunguliwa tena huko Liberia
Wanafunzi wakisaidia kufyeka nyasi shuleni katika siku yao ya kwanza
Walimu wakiwapokea wanafunzi baada ya kufungwa shule kwa muda mrefu
Kuanzia leo shule nchini Liberia zinaendelea kutoa mafunzo baada ya kufungwa kwa miezi kadhaa kufuatia mlipuko wa Ebola.
Huku kukiwepo vifo vya karibu watu 4000, Liberia imekuwa nchi iliyoathirika zaidi katika nchi tatu zilizogubikwa na janga hilo,
lakini wiki kadhaa zilizopita maafisa wa serikali wameamua kwamba kupungua kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Ebola:Shule zafunguliwa Liberia
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Shule zafunguliwa tena Kenya
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Ebola:Shule zafunguliwa Sierra Leone
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Ebola:Shule zaendelea kufungwa Liberia
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ebola:Shule zote zafungwa Liberia
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Baadhi ya sehemu za mji wa Wuhan zafunguliwa baada ya kufungwa kuzuia maambukizi China
10 years ago
GPLWAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO
10 years ago
MichuziShule ya sekondari ya Kutukutu Morogoro wafaidika na mradi wa "Airtel Shule Yetu"
Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni mbili umekabidhiwa hivi karibu na wawakilishi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ikiwa ni mpango wa SHULE YETU unaosimamiwa na kampuni hiyo.
Akipokea msaada huo kwa niaba ya walimu na wanafunzi wa shule hiyo mkuu wa shule ya sekondari Kutukutu Finyilise Elias amesema,...