Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siasa yetu isiwe ya siku sisimizi alipomuua tembo

SIKU zote tembo alikuwa akipita na miguu yake iliyo kama kinu ardhini, huku akiwa hajui anapokanyaga chini anaua zaidi ya sisimizi 100. Kutokana na adha ya kupoteza maisha ya wadudu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Msajili wa Vyama vya Siasa: Mrisho Mpoto na Christina Shusho kuwa mabalozi wa kubeba ujumbe wetu wa amani wa “AMANI YETU FAHARI YETU”

DSC_3048

Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi  (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Oktoba 12 juu ya kuhamasisha Amani pamoja na kuwatangaza rasmi wasanii Mrisho Mpoto (kulia)  na Christine Shusho (kushoto) kuwa mabalozi wa amani wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  katika kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, huku wakibeba ujumbe wa  “AMANI YETU FAHARI YETU”. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).

DSC_3062

DSC_3072

DSC_3070

Picha tatu za Jaji Mutungi zikionyesha msisitizo wa suala la Amani...

 

9 years ago

Michuzi

SIKU YA TEMBO KITAIFA TAREHE 22.09.2015

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MALIASILI NA UTALII                                    TAARIFA KWA UMMAWizara ya Maliasili na Utalii ikishirikiana na Shirika la Uhifadhi Duniani WWF ofisi ya Tanzania  kwa pamoja wanaadhimisha siku ya tembo kitaifa mwaka huu tarehe 22/9/2015,  kwa kujadili na wadau mbali mbali kuhusu kumuokoa mnyama Tembo kupitia vyombo vya habari hapa nchini. Kauli Mbiu ni ‘Wakati wa kuhifadhi tembo waliosalia ni sasa’
Malengo ya kuadhimisha siku ya Tembo kitaifa...

 

9 years ago

Vijimambo

Reggae Time ya Pride Fm Oct 3 2015......Siku za maisha yetu

Photo Credits: www.rickey.org
Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658

 

10 years ago

Habarileo

Diwani- DC Gamba aliinita sisimizi

SHAHIDI wa pili katika shauri linalomkabili Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gamba mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, diwani wa Kata ya Mndolwa wilaya ya Korogwe, Hillary Ngonyani ambaye aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo amedai DC huyo aliwahi kumwita `sisimizi’ wakiwa katika vikao vya halmashauri.

 

9 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Sisimizi ndani ya sukari

Juzi sisi waishiwa tulikutana tena sebuleni mwetu. Kwa bahati nzuri, wale wasakasupu hawakuwepo. Baada ya Mwishiwa Supu kuamuru hakuna kupewa bakuli ya dezo zaidi ya moja, wachache walisusa eti. Bila bakuli tatu na minofu kibao hawako tayari kukaa na kujadili mambo muhimu ya taifa letu na waishiwa wenzetu.

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA SIKU MBILI LA KUDHIBITI UJANGILI NA KUTOKOMEZA MAUAJI DHIDI YA TEMBO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, asalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Hoteli ya Hyat Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam leo Mei 9, 2014 kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo linatarajia kumalizika kesho.
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la siku mbili la kudhibiti Ujangili na kutokomeza mauaji dhidi ya Tembo

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Hoteli ya Hyat Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam jana Mei 9, 2014 kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la  Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo linatarajia kumalizika leo. (Picha na OMR).

4

 Washiriki wa Kongamano hilo, wakisimama kumkaribisha mgeni rasmi Makamu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini

tembo-620x308

Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.

Na Rabi Hume

Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani