SIKU YA TEMBO KITAIFA TAREHE 22.09.2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-EDv75mYjbtA/VgBO4nLiFlI/AAAAAAAH6r4/ZH5GNXMDggs/s72-c/New%2BPicture.png)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MALIASILI NA UTALII
TAARIFA KWA UMMAWizara ya Maliasili na Utalii ikishirikiana na Shirika la Uhifadhi Duniani WWF ofisi ya Tanzania kwa pamoja wanaadhimisha siku ya tembo kitaifa mwaka huu tarehe 22/9/2015, kwa kujadili na wadau mbali mbali kuhusu kumuokoa mnyama Tembo kupitia vyombo vya habari hapa nchini. Kauli Mbiu ni ‘Wakati wa kuhifadhi tembo waliosalia ni sasa’
Malengo ya kuadhimisha siku ya Tembo kitaifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fGP51eCG6_4/U4l5rxK4diI/AAAAAAAFmtU/9RCXjLJ7pbo/s72-c/Mkuu+wa+mkoa+wa+Mwanza+2.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI TAREHE 0 1- 05 JUNI, 2014, KUFANYIKA KITAIFA MKOANI MWANZA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fGP51eCG6_4/U4l5rxK4diI/AAAAAAAFmtU/9RCXjLJ7pbo/s1600/Mkuu+wa+mkoa+wa+Mwanza+2.jpg)
Mhe. Ernest Ndikilo akiongea na wanahabari Mkuu wa Mkoa wa Mwaza anapenda kuwafahamisha ya kwamba, siku ya madhimisho ya mazingira Duniani, hufanyika kuanzia tarehe 01 hadi 05 ya mwezi Juni, kwa kila Mwaka. Kwa mwaka 2014 shirika la Umoja wa mataifa linalo shughulikia mazingira limetangaza Kaulimbiu ya maadhimisho hayo kuwa ni “RAISE YOUR VOICE BUT NOT THE SEAL LEVEL” kwa tafsiri ni “CHUKUA HATUA KUKABILIANA NA TABIANCHI na kitaifa” TUNZA MAZINGIRA ILI...
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MWAKA 2015 KUFANYIKA KITAIFA DESEMBA MOSI MKOANI SINGIDA
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk.Fatma Mrisho (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka 2015 yatakayofanyika kitaifa Desemba Mosi mkoani Singida. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Uraghibishi.
Na Dotto Mwaibale
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi nchini yameongezeka kwenye kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 19 mpaka 24 tofauti na ilivyokuwa miaka minne...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/IM4XK5pK8WI/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70t5Gfmf2UtW*r6yHYOXBpNl7Ouoti56Gw-a-FRcIO1j*eywF8n-YLBUePNJoR7IfIYloSWMtjH6uPrkprExtgos/Pichayawazirimahengeakitoatamkokuhusuwikiyamzingira.jpg)
WAZIRI MAHENGE ATOA TAMKO LA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, TAREHE 5 JUNI 2015
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-go6Fycws_ko/VmcVpDNermI/AAAAAAAILEk/YpV_5lCJQYE/s72-c/dd.png)
UTARATIBU WA KUSHIRIKI ZOEZI LA KUFANYA USAFI SIKU YA TAREHE 9 DISEMBA, 2015 MKOA WA DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-go6Fycws_ko/VmcVpDNermI/AAAAAAAILEk/YpV_5lCJQYE/s640/dd.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alitoa agizo la kumtaka kila mtu kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya Uhuru tarehe 9 Disemba, 2015 kwa kushiriki zoezi la kufanya usafi wa mazingira. Katika Mkoa wa Dodoma, zoezi hilo litahusisha kazi za usafi wa makazi na maeneo ya shughuli mbalimbali, kufagia barabara za lami na vumbi, kufyeka nyasi kandokando mwa barabara na katika maeneo ya wazi na jamii, kuokota takataka (mifuko ya Rambo) na kuzibua mitaro ya maji ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s72-c/s.jpg)
RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s400/s.jpg)
NA. MUDA TUKIO MHUSIKA MAHALI 1. 12:00 - 02:00 Familia kuandaa Mwili wa Marehemu Familia Nyumbani 2. 02:00 - 04:00 Taratibu za Kimila Familia Nyumbani 3. 04:00 - 05:00 Chai/Chakula Familia Nyumbani 4. 04:00 - 05:00 § Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee Katibu wa Bunge Karimjee
§ Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao ...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iTv8zHc-VJM/Vmm2GVZIs9I/AAAAAAAILhE/S1CmULdn0zk/s72-c/us1.png)
MHE.BALOZI WILSON M. MASILINGI ATEMBELEA KITENGO CHA VISA KATIKA OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON D.C, SIKU YA KUMBUKUMBU YA UHURU, TAREHE 9 DISEMBA, 2015
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--KLsvsHKJgo/U4iPjKADZjI/AAAAAAAFmfw/jq88QTPnP60/s72-c/New+Picture.png)
MABADILIKO YA TAREHE YA KONGAMANO LA NNE LA KITAIFA LA MAKATIBU MUHTASI
![](http://2.bp.blogspot.com/--KLsvsHKJgo/U4iPjKADZjI/AAAAAAAFmfw/jq88QTPnP60/s1600/New+Picture.png)
KONGAMANO HILO SASA LITAFANYIKA TAREHE 10 – 12 JULY, 2014 KATIKA UFUKWE WA MALAIKA – JIJINI MWANZA.
GHARAMA ZA USHIRIKI NI SHILINGI 300,000/=(LAKI TATU TU) KWA MWANACHAMA NA SHILINGI 350,000/= (LAKI TATU NA NUSU) KWA ASIYE MWANACHAMA. LIPA KUPITIA AKAUNTI...