Sikiliza hapa remix ya Nitampata Wapi inayomsifia Wema Sepetu
Jitiririshe na hii hapa remix ya Nitampata Wapi inayomsifia Wema Sepetu
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Oct
JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA
![wema sepetu bongoclan.co.tz](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_.jpg)
![wema sepetu bongoclan.co.tz..](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_..-300x201.jpg)
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Wimbo wa “Ntampata Wapi”, Diamond Hakuniimbia Mimi- Wema Sepetu
Mrembo na staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ametoboa kuwa wimbo wa “Ntampata Wapi” ulioimbwa na aliekuwa mpezi wake, Diamond Platnumz hakuimbiwa yeye, hii ni kutokana na watu wengi kudhani kuwa wimbo huu alitungiwa yeye ukizingatia kuwa wakati wimbo huo unatoka ndio kilikuwa kipindi wametoka kuachana.
“Leo nasema rasmi kuwa hii nyimbo hakuniandikia mimi….because nilikuwa naisikia hii nyimbo hata wakati tulipokuwa kwenye uhusiano amekuwa akiimba, akiindika kwahiyo ilikuwa tu ni moja ya...
10 years ago
GPL20 Nov
10 years ago
Bongo Movies05 Apr
Wewe ni Shabiki wa Wema Sepetu? Hebu Pitia Hapa
Staa mrembo kutoka Bongo Movies. Wema Sepetu ambaye anatajwa kama ni moja ya watu wenye ushawishi mkubwa mtandaoni kwa hapa Bongo, ni moja kati ya watu wanaowania tuzo kwenye TUZO ZA WATU 2015 katika kipengele cha Muigizaji wa kike anaependwa na watu.
Hii ni nafasi kwa wewe unaemkubali na kumfagilia Wema kuonyesha kuwa mpo wengi kwa kumpigia kura za kutosha kumuwezesha kuibuka mshindi wa tuzo hiyo.
Jinsi ya kumpigia kumpigia kula, Tuma neno TUZO kwenda15678 utapokea uujumbe unaoainisha...
10 years ago
Vijimambo20 Nov
10 years ago
Bongo Movies17 Jun
Wema Sepetu kathibitisha anagombea Ubunge !! kayazungumza hapa na ya boyfriend wa Linah.
Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu leo June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM amefunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida pamoja na ishu ya kutoka na boyfriend wa msanii Linah.
Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze...
10 years ago
Bongo530 Aug
Audio: Diamond aonjesha kipande cha wimbo wake ambao haujatoka ‘Nitampata wapi’
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10