Sikiliza MISHUMAA YA KALE live....Dj Luke na Mubelwa Bandio
![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s72-c/vinyl-records2.jpg)
Photo Credits: Ye Olde Vivyl Shoppe Baada ya pilika za wiki nzima, na mchamchaka wa maisha, sasa unakuja wakati wa kuburudika na muziki halisi wa zamani.
Ungana SASA na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha MISHUMAA YA KALE kitakachokujia kila Ijumaa kuanzia saa 11 kamili jioni mpaka saa 1 kamili usiku kwa majira ya Marekani ya Mashariki (5:00pm - 7:00pm EST)
Ungana nasi kupitia www.kwanzaproduction.com na kwa uliye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-96y_J-qme00/VQyMW7GQPXI/AAAAAAAHLw8/ggqRGGDxa8E/s72-c/unnamed%2B(70).jpg)
PATA MISHUMAA YA KALE na DJ LUKE na MUBELWA BANDIO from Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-96y_J-qme00/VQyMW7GQPXI/AAAAAAAHLw8/ggqRGGDxa8E/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Sikiliza MISHUMAA YA KALE live (5:00PM EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Kama una TuneIn app, ingia http://tun.in/sfdl0
Kwa mlio Marekani na Canada, tusikilize kwa kupiga simu 716 748 0086
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s72-c/Flashback.png)
Flashback ya Pride Fm Sept 13 2015 na Mubelwa Bandio na DJ Luke Joe
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s640/Flashback.png)
FLASHBACK ni kipindi kutoka PRIDE FM Mtwara Tanzania,kinachokupatia fursa ya kusikiliza miziki iliyotamba katika miaka iliyopita.
Kipindi hiki hutayarishwa na kutangazwa na Mussa Yusuph kila Jumapili kuanzia saa nane kamili mchana mpaka kumi kamili jioni kwa majira ya Afrika Mashariki.
Wiki iliyopita (kama ilivyokuwa kwa wiki iliyotangulia), kipindi kilitayarishwa na kutangazwa toka KILIMANJARO STUDIO zilizopo Beltsville MD na Mubelwa Bandio na mgeni wa wiki,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LCUZNafCWfg/VMMgJpJbb2I/AAAAAAAAHzU/Y9fyaPg4Zk4/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Sikiliza marudio ya kipindi cha MISHUMAA YA KALE (Jan 23, 2015)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LCUZNafCWfg/VMMgJpJbb2I/AAAAAAAAHzU/Y9fyaPg4Zk4/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
MISHUMAA YA KALE ni kipindi kinachokuwezesha "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha MISHUMAA YA KALE kinakachokujia kila Ijumaa kuanzia saa 11 kamili jioni mpaka saa 1...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6yC95LrjsGs/VQ75bIqVvrI/AAAAAAAAIHs/55DzBED9oek/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Marudio ya kipindi cha Mishumaa ya Kale Ijumaa hii........sikiliza hapa
![](http://3.bp.blogspot.com/-6yC95LrjsGs/VQ75bIqVvrI/AAAAAAAAIHs/55DzBED9oek/s640/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Hiki ni kipindi cha Ijumaa Machi 20, 2015
MISHUMAA YA KALE ni kipindi kinachokuwezesha "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi cha MISHUMAA YA KALE kinakachokujia kila Ijumaa kuanzia saa 11 kamili jioni mpaka saa 1 kamili usiku...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s72-c/Flashback.png)
Flashback Pride Fm Sept 20 2015 na Mubelwa Bandio
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s640/Flashback.png)
FLASHBACK ni kipindi kutoka PRIDE FM Mtwara Tanzania,kinachokupatia fursa ya kusikiliza miziki iliyotamba katika miaka iliyopita.
Kipindi hiki hutayarishwa na kutangazwa na Mussa Yusuph kila Jumapili kuanzia saa nane kamili mchana mpaka kumi kamili jioni kwa majira ya Afrika Mashariki.
Wiki hii (kama ilivyokuwa kwa wiki mbili zilizopita), kipindi kimetayarishwa kutoka KILIMANJARO STUDIO zilizopo Beltsville MD na Mubelwa Bandio KARIBU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Mishumaa ya Kale LIVE .Ijumaa hii na kila Ijumaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hJCF04sajs0/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-mwelma5U9IE/AAAAAAAAAAI/AAAAAAAAAAA/DPEx9Fl3Zz0/s72-c/photo.jpg)
DR. CRISPIN SEMAKULA KUZUNGUMZA NA MUBELWA BANDIO SIKU YA JUMATATU USIKOSE
![](https://lh5.googleusercontent.com/-mwelma5U9IE/AAAAAAAAAAI/AAAAAAAAAAA/DPEx9Fl3Zz0/photo.jpg)
Siku ya Jumatatu Januari 5, 2015 Dr. Crispin Semakula atazungumuza na Mubelwa Bandio katika kipindi cha Huyu na Yule kitakachokuwa kinarushwa kila siku ya Jumatatu na kinachotoa fulsa kujua Watu mbalimbali kutoka sehemu tofauti na mchango wao kwa jamii inayowazunguka. Dr. Crispin Semakula ni mmoja wao na mwanaDiaspora aliyefanya mengi makubwa ikiwemo kujenga Hospitali Tanzania USIKOSE KUMSIKILIZA