TUJIKUMBUSHE KIDOGO MAHOJIANO YA MHE. ZITTO ALIPOHOJIWA NA MUBELWA BANDIO
![](http://img.youtube.com/vi/hJCF04sajs0/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s72-c/Flashback.png)
Flashback Pride Fm Sept 20 2015 na Mubelwa Bandio
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s640/Flashback.png)
FLASHBACK ni kipindi kutoka PRIDE FM Mtwara Tanzania,kinachokupatia fursa ya kusikiliza miziki iliyotamba katika miaka iliyopita.
Kipindi hiki hutayarishwa na kutangazwa na Mussa Yusuph kila Jumapili kuanzia saa nane kamili mchana mpaka kumi kamili jioni kwa majira ya Afrika Mashariki.
Wiki hii (kama ilivyokuwa kwa wiki mbili zilizopita), kipindi kimetayarishwa kutoka KILIMANJARO STUDIO zilizopo Beltsville MD na Mubelwa Bandio KARIBU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-96y_J-qme00/VQyMW7GQPXI/AAAAAAAHLw8/ggqRGGDxa8E/s72-c/unnamed%2B(70).jpg)
PATA MISHUMAA YA KALE na DJ LUKE na MUBELWA BANDIO from Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-96y_J-qme00/VQyMW7GQPXI/AAAAAAAHLw8/ggqRGGDxa8E/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s72-c/vinyl-records2.jpg)
Sikiliza MISHUMAA YA KALE live....Dj Luke na Mubelwa Bandio
![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s1600/vinyl-records2.jpg)
Ungana SASA na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha MISHUMAA YA KALE kitakachokujia kila Ijumaa kuanzia saa 11 kamili jioni mpaka saa 1 kamili usiku kwa majira ya Marekani ya Mashariki (5:00pm - 7:00pm EST)
Ungana nasi kupitia www.kwanzaproduction.com na kwa uliye...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s72-c/Flashback.png)
Flashback ya Pride Fm Sept 13 2015 na Mubelwa Bandio na DJ Luke Joe
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s640/Flashback.png)
FLASHBACK ni kipindi kutoka PRIDE FM Mtwara Tanzania,kinachokupatia fursa ya kusikiliza miziki iliyotamba katika miaka iliyopita.
Kipindi hiki hutayarishwa na kutangazwa na Mussa Yusuph kila Jumapili kuanzia saa nane kamili mchana mpaka kumi kamili jioni kwa majira ya Afrika Mashariki.
Wiki iliyopita (kama ilivyokuwa kwa wiki iliyotangulia), kipindi kilitayarishwa na kutangazwa toka KILIMANJARO STUDIO zilizopo Beltsville MD na Mubelwa Bandio na mgeni wa wiki,...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-mwelma5U9IE/AAAAAAAAAAI/AAAAAAAAAAA/DPEx9Fl3Zz0/s72-c/photo.jpg)
DR. CRISPIN SEMAKULA KUZUNGUMZA NA MUBELWA BANDIO SIKU YA JUMATATU USIKOSE
![](https://lh5.googleusercontent.com/-mwelma5U9IE/AAAAAAAAAAI/AAAAAAAAAAA/DPEx9Fl3Zz0/photo.jpg)
Siku ya Jumatatu Januari 5, 2015 Dr. Crispin Semakula atazungumuza na Mubelwa Bandio katika kipindi cha Huyu na Yule kitakachokuwa kinarushwa kila siku ya Jumatatu na kinachotoa fulsa kujua Watu mbalimbali kutoka sehemu tofauti na mchango wao kwa jamii inayowazunguka. Dr. Crispin Semakula ni mmoja wao na mwanaDiaspora aliyefanya mengi makubwa ikiwemo kujenga Hospitali Tanzania USIKOSE KUMSIKILIZA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2x7uWBPi2gg/VKIEb_chGwI/AAAAAAAAHrY/66jdRYIFiak/s72-c/255717030066-1418647775.jpg)
SALAM ZA MDAU MUBELWA BANDIO: Mwaka unakatika....Tumesonga mbele ama tumerudi nyuma???
![](http://2.bp.blogspot.com/-2x7uWBPi2gg/VKIEb_chGwI/AAAAAAAAHrY/66jdRYIFiak/s1600/255717030066-1418647775.jpg)
Ni harakati kubwa sana hasa katika kusonga na maisha yetu ya kila siku na pia kuendeleza gurudumu hili la blogsNimekuwa nikituma makala, vipindi na kazi zangu kwenu nanyi mmekuwa wakarimu sana kuzipokea. Ushirikiano ambao umenifanya nizidi kujivunia kuwa mmoja wa blogaLakini...
10 years ago
Vijimambo25 Dec
HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/12/marathon.jpg)
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
10 years ago
Mwananchi12 May
Mahojiano na Mhe Alhaj Ali Hassan Mwinyi
Katika mahojiano yake na mwandishi wa habari yaliyofanyika tarehe 11/05/2015 kuhusu Kiswahili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alisema kuwa inaaminika kuwa Kiswahili ni lugha ya asili ya Afrika. Hii ni lugha inayozungumzwa na watu wengi zaidi kusini mwa Jangwa la Sahara.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-baCE6BWogQQ/VVADRrq55gI/AAAAAAAAInQ/N7bM6UsIfnY/s72-c/Mahojiano%2Bna%2BMzee%2BAlhaj%2BMwinyi.jpg)
Mahojiano na Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi kuhusu KISWAHILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-baCE6BWogQQ/VVADRrq55gI/AAAAAAAAInQ/N7bM6UsIfnY/s640/Mahojiano%2Bna%2BMzee%2BAlhaj%2BMwinyi.jpg)
Ni lugha ya taifa kwa nchi za Kenya na Tanzania na pia yazungumzwa kwenye nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Burundi, Rwanda, Uganda, Visiwa vya Comoro na nchi nyingine
Ikizungumzwa na watu wanaokadiriwa kufikia milioni 100 hivi sasa, Kiswahili ndio lugha pekee ya kiAfrika iliyo miongoni mwa lugha rasmi za Umoja wa Afrika.
Ni lugha muhimu katika habari, shule, kazi za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania