SALAM ZA MDAU MUBELWA BANDIO: Mwaka unakatika....Tumesonga mbele ama tumerudi nyuma???
![](http://2.bp.blogspot.com/-2x7uWBPi2gg/VKIEb_chGwI/AAAAAAAAHrY/66jdRYIFiak/s72-c/255717030066-1418647775.jpg)
Amani, Heshima na Upendo kwa wana-blog wote.Kwanza namshukuru MUNGU kwa baraka ya uhai ambayo mimi nawe tunayo mpaka sasa. Pili nikupe pole kwa harakati za maisha ambazo sote twazipitia kufanikisha yale mema tupendayo.
Ni harakati kubwa sana hasa katika kusonga na maisha yetu ya kila siku na pia kuendeleza gurudumu hili la blogsNimekuwa nikituma makala, vipindi na kazi zangu kwenu nanyi mmekuwa wakarimu sana kuzipokea. Ushirikiano ambao umenifanya nizidi kujivunia kuwa mmoja wa blogaLakini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2x7uWBPi2gg/VKIEb_chGwI/AAAAAAAAHrY/66jdRYIFiak/s72-c/255717030066-1418647775.jpg)
Mwaka unakatika....Tumesonga mbele ama nyuma???
![](http://2.bp.blogspot.com/-2x7uWBPi2gg/VKIEb_chGwI/AAAAAAAAHrY/66jdRYIFiak/s1600/255717030066-1418647775.jpg)
Kwanza namshukuru MUNGU kwa baraka ya uhai ambayo mimi nawe tunayo mpaka sasa.
Pili nikupe pole kwa harakati za maisha ambazo sote twazipitia kufanikisha yale mema tupendayo. Ni harakati kubwa sana hasa katika kusonga na maisha yetu ya kila siku na pia kuendeleza gurudumu hili la blogs
Nimekuwa nikituma makala, vipindi na kazi zangu kwenu nanyi mmekuwa wakarimu sana kuzipokea. Ushirikiano ambao umenifanya nizidi kujivunia kuwa mmoja wa bloga
Lakini...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s72-c/Flashback.png)
Flashback Pride Fm Sept 20 2015 na Mubelwa Bandio
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s640/Flashback.png)
FLASHBACK ni kipindi kutoka PRIDE FM Mtwara Tanzania,kinachokupatia fursa ya kusikiliza miziki iliyotamba katika miaka iliyopita.
Kipindi hiki hutayarishwa na kutangazwa na Mussa Yusuph kila Jumapili kuanzia saa nane kamili mchana mpaka kumi kamili jioni kwa majira ya Afrika Mashariki.
Wiki hii (kama ilivyokuwa kwa wiki mbili zilizopita), kipindi kimetayarishwa kutoka KILIMANJARO STUDIO zilizopo Beltsville MD na Mubelwa Bandio KARIBU
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s72-c/vinyl-records2.jpg)
Sikiliza MISHUMAA YA KALE live....Dj Luke na Mubelwa Bandio
![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s1600/vinyl-records2.jpg)
Ungana SASA na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha MISHUMAA YA KALE kitakachokujia kila Ijumaa kuanzia saa 11 kamili jioni mpaka saa 1 kamili usiku kwa majira ya Marekani ya Mashariki (5:00pm - 7:00pm EST)
Ungana nasi kupitia www.kwanzaproduction.com na kwa uliye...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-96y_J-qme00/VQyMW7GQPXI/AAAAAAAHLw8/ggqRGGDxa8E/s72-c/unnamed%2B(70).jpg)
PATA MISHUMAA YA KALE na DJ LUKE na MUBELWA BANDIO from Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-96y_J-qme00/VQyMW7GQPXI/AAAAAAAHLw8/ggqRGGDxa8E/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s72-c/Flashback.png)
Flashback ya Pride Fm Sept 13 2015 na Mubelwa Bandio na DJ Luke Joe
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oz-JBLnTplw/Vf9SuCgvzKI/AAAAAAAAJso/3KfiYs2efNc/s640/Flashback.png)
FLASHBACK ni kipindi kutoka PRIDE FM Mtwara Tanzania,kinachokupatia fursa ya kusikiliza miziki iliyotamba katika miaka iliyopita.
Kipindi hiki hutayarishwa na kutangazwa na Mussa Yusuph kila Jumapili kuanzia saa nane kamili mchana mpaka kumi kamili jioni kwa majira ya Afrika Mashariki.
Wiki iliyopita (kama ilivyokuwa kwa wiki iliyotangulia), kipindi kilitayarishwa na kutangazwa toka KILIMANJARO STUDIO zilizopo Beltsville MD na Mubelwa Bandio na mgeni wa wiki,...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-mwelma5U9IE/AAAAAAAAAAI/AAAAAAAAAAA/DPEx9Fl3Zz0/s72-c/photo.jpg)
DR. CRISPIN SEMAKULA KUZUNGUMZA NA MUBELWA BANDIO SIKU YA JUMATATU USIKOSE
![](https://lh5.googleusercontent.com/-mwelma5U9IE/AAAAAAAAAAI/AAAAAAAAAAA/DPEx9Fl3Zz0/photo.jpg)
Siku ya Jumatatu Januari 5, 2015 Dr. Crispin Semakula atazungumuza na Mubelwa Bandio katika kipindi cha Huyu na Yule kitakachokuwa kinarushwa kila siku ya Jumatatu na kinachotoa fulsa kujua Watu mbalimbali kutoka sehemu tofauti na mchango wao kwa jamii inayowazunguka. Dr. Crispin Semakula ni mmoja wao na mwanaDiaspora aliyefanya mengi makubwa ikiwemo kujenga Hospitali Tanzania USIKOSE KUMSIKILIZA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hJCF04sajs0/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Tumerudi upya mambo mapya mwaka mpya
WAPENDWA wasomaji wa safu hii, kabla ya kuwaletea nini ajenda na mjadala wa kijiwe cha leo, tunaomba kwa niaba ya wazee wa kijiwe na kwa unyenyekevu msamaha kwa kutokuwa hewani...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Tunarudishwa nyuma badala ya kwenda mbele