Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sikukuu zapaisha bei ya mchele

Bei ya mchele katika masoko na maduka mbalimbali mkoani hapa imezidi kupaa na ikidaiwa kuwa imesababishwa na sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mchele waanza kupanda bei

SIKU chache baada ya serikali kuruhusu uuzwaji wa mchele nje ya nchi, zao hilo limeanza kupanda gharama katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. Mmoja wa wafanyabiashara aliyejitambulisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Bei za sukari, mchele zapanda Mbeya

Bei za sukari na mchele jijini Mbeya zimepanda, wakati mahindi yakishuka kulinganisha na kipindi kama hiki mwaka jana.

 

11 years ago

Habarileo

Bei ya mchele, sukari kuendelea kudhibitiwa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) itaendelea kudhibiti bei za vyakula muhimu, ikiwemo mchele na sukari, ili kupunguza ukali wa maisha kwa wananchi wake.

 

9 years ago

Global Publishers

Kumekucha! Mbuzi wa sikukuu wapo Mbezi na Vingunguti, bei chee!

Mbuzi (1)
Mbuzi (3)

Mbuzi (4)

Mbuzi (5)

Mbuzi (2)

Mbuzi (6)

Kumekucha jijini Dar, ni offer ya aina yake katika msimu huu wa sikukuu za X-Mass na Mwaka Mpya, mbuzi wanono kwa ajili yako na familia yako wanapatikana Mbezi ya Kimara na Vingunguti jijini Dar es salaam kwa bei nafuu sana.

Pia wanafaa kwa nyamachoma, mahotelini, nyumbani na kumbi za starehe.

Weka oda yako sasa kwa kupiga simu namba: 0787 589 318

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WAASWA KUTOPANDISHA BEI YA NYAMA MSIMU HUU WA SIKUKUU

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewataka wafanyabiashara wanaouza nyama nchini kutopandisha bei ya nyama kipindi hiki cha sikukuu ya Eid El Fitr  ili kuhakikisha kila mwananchi anapata kitoweo hicho.
Akizungumza jana Mei 18,2020 jijini Dar es Salaam, Naibu Waziri Mhe.Ulega amemtaka pia Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Bw. Jumanne Shauri ndani ya siku saba kuhakikisha wanawapeleka wafanyabiashara wanaofanya biashara katika machinjio ya vingunguti kujionea eneo jipya...

 

10 years ago

Michuzi

MAMBO YA VITOWEO VYA SIKUKUU BEI YAKE HUWA MOTO KIDOGO .!

Msimu wa Sikukuu mambo ya vitoweo kama Kuku,Mbuzi na Ng'ombe ndio wakati wake wa kununuliwa kwa wingi na pia kuuzwa kwa bei ya juu ama bei ghali.Pichani ni baadhi ya Wauza Kuku katika kijiji cha Mkambarani nje kidogo ya mji wa Morogoro wakisubiri wateja wao Kuku,ambapo kuku mmoja huuzwa kati ya shilingi 12,000/= mpaka 15,000/=

 

10 years ago

Habarileo

TTCL yawapa mchele yatima wa Mbagala

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetoa zawadi ya Sikukuu ya Pasaka kwa kutoa msaada wa vyakula mbalimbali kwa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini Dar es Salaam, kiitwacho Yatima Group Trust Fund.

 

9 years ago

Mwananchi

Kampeni tunaziona, tupembue mchele, chuya

Ni dhahiri kuwa wagombea urais hawa wawili, mmoja wao ifikapo Desemba mwaka huu atakuwa mbele ya bunge jipya la 11 kule Dodoma akizungumza na Watanzania wote, waliomchagua na waliomkataa, siku hiyo atajiuza mbele yao wote kwamba yeye ndiye chaguo la wengi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchele wa Mbeya hatarini kupoteza soko

Wakati wafanyabiashara wengi wa mchele nchini wakiunadi wa Mbeya kwa ubora, hususan ule wa wilayani Kyela, wataalamu wa ubora wa vyakula wamesema uko hatarini kukosa soko la kimataifa kutokana na kupakwa mafuta.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani