Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Silaa ataka agizo la JK litekelezwe

MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amelitaka baraza la madiwani la manispaa hiyo kutekeleza agizo la kujenga maabara katika shule zote za Sekondari. Agizo hilo limetolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Agizo la wizara litekelezwe

HIVI karibuni gazeti hili liliandika taarifa kuhusu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kubatilisha na kufuta ramani ya upimaji wa viwanja namba E’320/331 yenye usajili namba 72328 eneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Silaa: Sijawakimbia UWAWADA

MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa, amesema hawezi kuwakimbia Umoja wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (UWAWADA) kwa sababu hawamdai, kama wanavyodai. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Silaa: Dar inakufa

>Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema kuwa Jiji la Dar es Salaam hivi sasa ni sawa na mgonjwa mahututi hivyo kufariki si ajabu.

 

10 years ago

Mwananchi

Silaa: Jiandikisheni Daftari la Wapigakura

Wakazi wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura ili waweze kushiriki kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

MEYA SILAA: DAR ITAKUFA

Mwandishi : Elvan Stambuni na Haruni Sanchawa MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa amesema ikiwa Halmashauri ya Jiji haitapewa fedha za kutosha na serikali kuu basi Dar itakufa. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa akifafanua jambo ndani ya chumba cha habari cha Global Publishers, Mwenge, Bamaga jijini Dar. Akizungumza na waandishi wa habari katika safu ya Live Chumba cha Habari na Global TV On Line, Bamaga Mwenge,...

 

9 years ago

GPL

JOKATE AMTOLEA CHOZI JERRY SILAA

Na Hamida Hassan
MWANADADA ‘kiraka’ anayefanya mitindo, muziki, uigizaji na ujasiriamali, Jokate Mwegelo amemwaga chozi baada ya kupata taarifa za kukosa ubunge wa Jimbo la Ukonga kwa aliyekuwa Meya wa Ilala, Jerry Silaa na kusema ameumia kuliko maelezo. Mwanadada ‘kiraka’ anayefanya mitindo, muziki, uigizaji na ujasiriamali, Jokate Mwegelo. Akizungumza na Ijumaa juzi, Jokate ambaye ni mtu wa karibu sana na mheshimiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yamkalia kooni Meya Silaa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku 21 Diwani wa Ukonga, Jerry Silaa, kutoa maelezo ziliko fedha za ujenzi wa ofisi ya kata zaidi ya sh. milioni 175. Chama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jerry Silaa ahimiza upimaji wa VVU

HIV_47

Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa jana amehudhuria maadhimisho ya siku ya UKIMWI  iliyoadhimishwa na manispaa ya Ilala kwenye kata ya Vingunguti ambapo ametumia fursa hiyo kuhamasisha wanaume kupima VVU kwani takwimu zinaonyesha asilimia ndogo ya wanaume wanajitokeza kupima.

HIV_11

HIV_20

Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akizungumza na mtoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani.

HIV_23

Mtoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji...

 

10 years ago

GPL

ZIARA YA MHE. JERRY SILAA MALAMPAKA

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa aikwahutubia wananchi wa Kata ya Malampaka wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu jana. Wananchi wa kata ya Malampaka wakimsikiliza kwa makini hotuba iliyokuwa ikilitolewa na Mh. Jerry Silaa.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani