Silaa: Dar inakufa
>Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema kuwa Jiji la Dar es Salaam hivi sasa ni sawa na mgonjwa mahututi hivyo kufariki si ajabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMEYA SILAA: DAR ITAKUFA
11 years ago
GPLSILAA AKABIDHIWA JENGO LA MATIBABU MOGOLANDEGE, UKONGA DAR
10 years ago
GPLCATHY: BONGO MUVI INAKUFA
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
JB: Tunafurukuta Lakini Tasnia ya Filamu Inakufa
Mwigizaji na mwongozaji mkongwe wa filamu za Kibongo Jacob Stephen ‘JB’ ametoa dukuduku lake la moyoni na kusema kwamba tasnia ya filamu ipo katika hali mbaya.
JB ambaye amefanya kazi kubwa katika kuiinua tasnia hiyo alisema, filamu inaangukia katika kifo kama ulivyoanguka muziki wa Bongo Fleva kutokana na soko kushikiliwa na maharamia.
Staa huyo alisema hali hiyo inawafanya wasambazaji kuanza kuikimbia tasnia hiyo na wengine kushusha bei ya filamu.
“Hali ya soko kwa sasa ni mbaya sana...
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
JB:Tunafurukuta Lakini Tasnia ya Filamu Inakufa
Mwigizaji na mwongozaji mkongwe wa filamu za Kibongo Jacob Stephen ‘JB’ ametoa dukuduku lake la moyoni na kusema kwamba tasnia ya filamu ipo katika hali mbaya.
JB ambaye amefanya kazi kubwa katika kuiinua tasnia hiyo alisema, filamu inaangukia katika kifo kama ulivyoanguka muziki wa Bongo Fleva kutokana na soko kushikiliwa na maharamia.
Staa huyo alisema hali hiyo inawafanya wasambazaji kuanza kuikimbia tasnia hiyo na wengine kushusha bei ya filamu.
“Hali ya soko kwa sasa ni mbaya sana...
9 years ago
Bongo523 Oct
Dr Cheni adai tasnia ya filamu Tanzania inakufa
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Bila serikali tatu, rasimu iliyopo nayo inakufa!
KUNA kisa kimoja cha kuchekesha kinachotokana na simulizi za zamani. Palikuwa na mpita njia mmoja alikuwa akitembea kando ya nyumba. Alisikia zogo kati ya mume na mke. Watu hawa wakawa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Silaa: Sijawakimbia UWAWADA
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa, amesema hawezi kuwakimbia Umoja wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (UWAWADA) kwa sababu hawamdai, kama wanavyodai. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...