Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba fail to land City ace

Efforts by Simba Sports Club to bolster their squad with the signing of Mbeya City winger Deus Kaseke have hit the rocks.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Coastal Union beat Simba SC to sign Gor ace

>Coastal Union have beaten Simba SC for the services of former Gor Mahia midfielder Rama Salim.

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Mbeya City vitani

Mbeya City wataishusha Yanga katika nafasi ya pili kama wataibuka na ushindi leo dhidi ya Ashanti United kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, huku Simba wakiwa na kibarua kizito mbele ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, City zapeta, Simba mh!

Dar es Salaam. Azam na, Mtibwa zimeendelea kung’ara katika  Ligi Kuu Tanzania Bara, wakati Simba ikisuasua baada ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 na Polisi Morogoro jana.Azam imepanda kileleni mwa ligi baada ya kuichapa Ruvu

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City kuishtaki Simba

>Wakati Simba ikibainika kumsajili kinyemela  Saad Kipanga, Mbeya City imedai suala la mshambuliaji huyo litawafanya “kufikishana pabaya”.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kuibomoa Mbeya City

Dar es Salaam. Simba imepanga kuibomoa Mbeya City baada ya kuanza harakati za kuwawania winga Deus Kaseke, beki Kenny Ally na mshambuliaji Paul Nonga wa timu hiyo.

 

10 years ago

TheCitizen

Mbeya City go into Simba’s den

Simba SC face another test today when they welcome struggling Mbeya City for a Vodacom Premier League match at the National Stadium.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba wazikomalia Mgambo, City

Morogoro. Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola amesema bado ana imani ya kufanya vizuri katika mechi mbili zilizobaki za nje ya Dar es Salaam licha ya juzi kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City yapaa, Simba mdebwedo

>Mgambo Shooting imeiduwaza Simba kwa kuichapa bao 1-0 mjini Tanga, huku Mbeya City wakirudi nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu bara baada ya kuichapa Mtibwa Sugar 2-1 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani