Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba wazikomalia Mgambo, City

Morogoro. Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola amesema bado ana imani ya kufanya vizuri katika mechi mbili zilizobaki za nje ya Dar es Salaam licha ya juzi kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MBEYA CITY NA MGAMBO JKT ZATOKA NGOMA DROO 1-1

 Mbeya city yatoka sale na Mgambo Jkt kwa mabao ya goli 1-1  ambapo  Goli la Timu ya Mbeya City Fc lilifungwa na Abdalla Juma Dakika ya 30 huku Fully Zullu Maganga akisawazisha na kuipatia Goli Timu ya Mgambo Jkt Dakika ya 71 katika Mtanange uliochezwa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya  katika  muendelezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.Kikosi cha Timu ya Mgambo Jkt katika Picha ya Pamoja Kabla ya mechi kuanza.Kikosi cha Timu ya Mbeya City Wakoma Kumwanya.Mashabiki wa Timu ya Mbeya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgambo Shooting yaipania Simba

Kocha Mkuu wa Mgambo Shooting, Bakari Shime amejitapa kuwa kipigo alichokitoa kwa Ashanti United ndicho atakachokihamishia kwa Simba.

 

9 years ago

Habarileo

Mgambo yatamba kuizima Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Mgambo JKT ya Tanga, Bakari Shime amesema miongoni mwa michezo ambayo haimnyimi usingizi ni wa leo dhidi ya Simba utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni Simba vs Oljoro, Ashanti vs Mgambo

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanajitupa ndani ya dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuwaalika maafande wa JKT Oljoro ya Arusha katika pambano la Ligi Kuu ya Vodacom,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niliyojionea Simba vs Mgambo JKT Tanga

“TULIKUWA tunamsikia tu Mzungu wa Simba. Kumbe ndie huyu, hana lolote,” alisikika mmoja wa mashabiki na wakazi wa Tanga wakati mechi ya maafande wa Mgambo JKT ya jijini hapa dhidi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Mgambo aelezea jinsi alivyoifunga Simba

Kocha wa Mgambo Shooting, Bakari Shime ameanika siri ya kikosi chake kuitungua Simba bao 1-0 katika pambano baina ya timu hizo lililopigwa mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr : Kumbe Simba SC walinidanganya kuhusu Mgambo

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amefichua siri ambayo ni vigumu kuiamini. Alisema alilazimika juzi kupanga viungo wengi dhidi ya Mgambo JKT kutokana na kupewa taarifa kuwa timu hiyo inacheza soka la kushambulia kwa wakati wote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani