Mgambo yatamba kuizima Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Mgambo JKT ya Tanga, Bakari Shime amesema miongoni mwa michezo ambayo haimnyimi usingizi ni wa leo dhidi ya Simba utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Simba yatamba kubeba pointi sita Tanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, tayari wametua mkoani Tanga kamili kuchukua pointi sita ambapo wamepania kuanza kuzisaka kwa African Sports ‘Wana Kimanumanu’, wanaokutana nao kesho, Uwanja wa Mkwakwani.
Simba itacheza michezo miwili ikiwa mkoani humo, ambapo baada ya kumalizana na Wana kimanumanu hao itakaa kuwasubiria Mgambo JKT, ambayo watakutana nayo Septemba 16, kwenye uwanja huo.
Timu hiyo imeondoka jana, huku ikimkosa mchezaji Abdi Banda, ambaye atakuwa nje...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Ni Simba vs Oljoro, Ashanti vs Mgambo
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanajitupa ndani ya dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuwaalika maafande wa JKT Oljoro ya Arusha katika pambano la Ligi Kuu ya Vodacom,...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Simba wazikomalia Mgambo, City
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Mgambo Shooting yaipania Simba
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Niliyojionea Simba vs Mgambo JKT Tanga
“TULIKUWA tunamsikia tu Mzungu wa Simba. Kumbe ndie huyu, hana lolote,” alisikika mmoja wa mashabiki na wakazi wa Tanga wakati mechi ya maafande wa Mgambo JKT ya jijini hapa dhidi...
10 years ago
GPLSIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kocha wa Mgambo aelezea jinsi alivyoifunga Simba
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kerr : Kumbe Simba SC walinidanganya kuhusu Mgambo