Simba Sports Club yawazawadi mashabiki wake
Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na Washindi wa bahati nasibu pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Eag Group Iman Kajula kushoto na Msemaji wa Timu hiyo Manara.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Simba-zawadi-3.jpg)
Rais wa Simba Evans Aveva akikabidhi zawadi kwa Mmoja wa Washindi Uongozi wa klabu ya Simba umetoa zawadi kwa washindi wa bahati nasibu iliyochezeshwa siku ya Simba Day Aosti 8 mwaka huu wakati wa kilele cha sherehe za siku ya Simba Day zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Aug
SIMBA SPORT CLUB YAWA ZAWADIA MASHABIKI WAKE WA BAHATI NASIBU ILIYOICHEZWA SIMBA DAY
9 years ago
Vijimambo14 Aug
SIMBA SPORT CLUB YAWA ZAWADIA MASHABIKI WAKE
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Simba-zawadi-10.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Simba-zawadi-3.jpg)
Uongozi wa klabu ya Simba leo umetoa zawadi kwa washindi wa bahati na sibu iliyochezeshwa siku ya Simba Day Aosti 8 mwaka huu wakati wa kilele cha sherehe za siku ya Simba Day zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Zawadi...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Simba Sports Club yaandika historia, wazindua kadi mpya
Afisa Mtendaji Mkuuwa EAG Group Imani Kajula Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva pamoja na Makamu wa Rais wa Club ya Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ wakiwa wameshika mfano wa kadi ya club hiyo waliyoizindua mapema jana.
Klabu ya Simba hii imeandika historia kwa kuzindua Kadi Mpya za Wanachama ambazo zinamwezesha kila Mwanachama wa Simba kupata bima ya maisha hadi Tsh 250,000 ikiwa atafiwa na mwenza au mtoto au yeye mwenyewe kupitia bima ya maisha iitwayo Simba Pamoja....
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cqs6dTfvgKg/U24SL18ahJI/AAAAAAAFgrM/REydt2k67n0/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Mdau Alfred Martin Elia achukua fomu ya kugombea ujumbe wa kamati ya utendaji wa Simba Sports Club
![](http://1.bp.blogspot.com/-cqs6dTfvgKg/U24SL18ahJI/AAAAAAAFgrM/REydt2k67n0/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
VijimamboCASSIM MGANGA AKA TAJIRI WA MAHABA KUFANYA ONESHO SIKU YA IJUMAA SAFARI CLUB KUWAAGA MASHABIKI WAKE DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s1600/AfricanNight+(1).png)
NO COVER CHARGE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lj5uK_syq2U/VDD4OTiBgoI/AAAAAAAGn9k/t7lUMQw9Oh0/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
UHAMIAJI SPORTS CLUB YAIFUNGISHA VIRAGO IKULU SC
Timu ya soka ya Uhamiaji imeweka historia katika michezo ya SHIMIWI baada ya kuifunga timu ya soka ya Ikulu bao moja kwa bila katika mchezo wa mtoano uliofanyika viwanja vya Morogoro Sec. mjini Morogoro na hivyo kuitoa timu hiyo ya Ikulu katika mashindano ya SHIMIWI.
Mchezo huo wa aina yake uliochezwa kwa vipindi viwili vya dakika thelathini ulianza kwa kasi huku timu ya Ikulu ikijitahidi kushambulia lango la Uhamiaji kupitia mshambuliaji wake Salehe...
11 years ago
TheCitizen10 Feb
Swimathon donates sports gear to Dar club
10 years ago
MichuziTUMESHERIA SPORTS CLUB YAMKABIDHI MWENYEKITI WA TUME KOMBE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Dy_Yqk6J4v8/VCVGaK9ln6I/AAAAAAAGl58/BXnBx1pWzN0/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
TUMESHERIA SPORTS CLUB YAAGWA KWENDA KUSHIRIKI SHIMIWI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dy_Yqk6J4v8/VCVGaK9ln6I/AAAAAAAGl58/BXnBx1pWzN0/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VwjVaQyPvhc/VCVGbpkDJlI/AAAAAAAGl6E/NexkkvzuKWk/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bU6i9EEhyws/VCVGgY2G7WI/AAAAAAAGl6M/xBBMKgFEWYk/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10