Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba Sports Club yaandika historia, wazindua kadi mpya

Afisa Mtendaji  Mkuuwa EAG Group Imani Kajula  Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva pamoja na Makamu wa Rais wa Club ya Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ wakiwa wameshika mfano wa kadi ya club hiyo waliyoizindua  mapema jana.

Klabu ya Simba hii imeandika historia kwa kuzindua Kadi Mpya za Wanachama ambazo zinamwezesha  kila Mwanachama wa  Simba  kupata  bima  ya maisha  hadi  Tsh 250,000 ikiwa atafiwa  na  mwenza au mtoto au yeye  mwenyewe  kupitia  bima  ya  maisha   iitwayo Simba Pamoja....

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SIMBA SPORT CLUB YAANDIKA HISTORIA,WAZINDUA KADI MPYA

Afisa MtendajiMkuuwa EAG Group Imani Kajula  Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva Pamoja na Makamu wa Rais wa Club ya Simba Geofrey Nyange ‘Kaburu Wakiwa wameshika Mfano wa Kadi ya Club Hiyo waliyoizindua.Klabu ya Simba leo hii imeandika historia kwa kuzindua Kadi Mpya za Wanachama ambazo zinamwezesha  kila Mwanachama wa  Simba  kupata  bima  ya maisha  hadi  Tsh 250,000 ikiwa atafiwa  na  mwenza au mtoto au yeye  mwenyewe  kupitia  bima  ya  maisha   iitwayo Simba Pamoja. Pia Simba  leo hii...

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA SPORT CLUB YAANDIKA HISTORIA, WAZINDUA KADI MPYA

Afisa MtendajiMkuuwa EAG Group Imani Kajula  Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva Pamoja na Makamu wa Rais wa Club ya Simba Geofrey Nyange ‘Kaburu Wakiwa wameshika Mfano wa Kadi ya Club Hiyo waliyoizindua  Leo.Klabu ya Simba leo hii imeandika historia kwa kuzindua Kadi Mpya za Wanachama ambazo zinamwezesha  kila Mwanachama wa  Simba  kupata  bima  ya maisha  hadi  Tsh 250,000 ikiwa atafiwa  na  mwenza au mtoto au yeye  mwenyewe  kupitia  bima  ya  maisha   iitwayo Simba Pamoja. Pia Simba...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simba Sports Club yawazawadi mashabiki wake

Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva  (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na Washindi wa bahati nasibu pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Eag Group Iman Kajula kushoto na Msemaji wa Timu hiyo Manara.

Rais wa Simba Evans Aveva akikabidhi zawadi kwa Mmoja wa Washindi Uongozi wa klabu ya Simba umetoa zawadi kwa washindi wa bahati nasibu iliyochezeshwa siku ya Simba Day Aosti 8 mwaka huu wakati wa kilele cha sherehe za siku ya Simba Day zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA SPORT CLUB WAZINDUA TOVUTI YAKE

AfisaMtendajiMkuuwa EAG Group Imani Kajula Akimwelezea Jambo Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva (Aliyekaa) Wakati wa Uzinduzi wa Tovuti ya Club Hiyo Anayeshuhudia ni Makamu wa Rais wa Club ya Simba Geofrey Nyange ‘KaburuSimba Sports Club leo hiiimezindua tovuti yake Ili kukuza  mawasiliano  na  wadau wake mbalimbali  hususani; wanachama, wapenzi, vyombo  vya  habari na wadau wengine muhimu. 

Akizungumza  wakati  wauzinduzi  huo  Rais  wa  Simba Evans Aveva  alisema ‘’Katika dunia na zama...

 

11 years ago

CloudsFM

11 years ago

Michuzi

Mdau Alfred Martin Elia achukua fomu ya kugombea ujumbe wa kamati ya utendaji wa Simba Sports Club

Mdau Alfred Martin Elia akipokea fomu ya kugombea ujumbe wa kamati ya utendaji wa Simba Sports Club toka kwa Bw. Khalid Kamuguna. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mwisho wa mwezi juni mwaka huu"

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA SPORT CLUB YAZINDUA HUDUMA MPYA YA SIMBA NEWS

Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva (katikati) Akizungumza katika Uzinduzi Huo Akiwa na   Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya EAG Group LTD Imani Kajula (Kushoto) Pamoja na Meneja Uendeshaji wa Premier Mobile Solutions, Bi Lulu Ramole.
Simba Sports Club kwa kushirikiana na Kampuni ya Tigo Tanzania zimezindua huduma ya ujumbe mfupi ijulikanayo kama ‘SIMBA NEWS’, ambayo lengo lake nikuwapatia wateja wa Tigo taarifa zinazoihusu klabu ya Simba popote walipo nchini.
Huduma hii mpya...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAANDIKA HISTORIA NYINGINE KWA KUZIBA MATUNDU YA MOYO BILA KUFUNGUA KIFUA

Mwezi Mei tarehe 9, mwaka 2015, Tanzania imeandika historia nyingine baada ya kufanya Tiba ya moyo bila ya kufanya upasuaji kwa kuziba matundu yaliyoko kwenye moyo kwa kutumia “kifaa maalum” bila kufungua kifua kama ilivyozoeleka. Tiba hii inafanyika kwa mara ya kwanza nchini kupitia Idara ya Tiba na Upasuaji Moyo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ikishirikiana na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Prince Sultan Cardiac Centre iliyoko Riyadhi nchini Saudi Arabia ambao watakuwepo...

 

10 years ago

Michuzi

NMB NA AZAM FC WAZINDUA RASMI KADI ZA UANACHAMA WA AFC

Benki ya NMB kwa kushirikiana na Azam FC jana wamezindua rasmi kadi za wanachama wa klabu hiyo amabazo zitawawezesha kupata huduma za kibenki za NMB zilizotapakaa nchi nzima.
Naibu Waziri wa Habari ,Vijana ,utamaduni na michezo Mhe. Juma Nkamia ndie alikuwa mgeni rasmi katika hafla hii. Pia aliwataka wanachama kuiunga mkono timu hiyo kwa matokeo yoyote.
“Mashabiki najua kazi zenu ni mbili kushangilia na kuzomea timu pinzani hivyo nawataka muwe na mapenzi ya dhati na timu yenu kwani naamini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani