TUMESHERIA SPORTS CLUB YAMKABIDHI MWENYEKITI WA TUME KOMBE
Mchezaji wa TUMESHERIA Sports,Bi. Marlin Komba akimkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Kombe la ushindi wa pili wa katika mashindano ya SHIMIWI yaliyomalizika hivi karibuni mkoani Morogoro.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akimkabidhi kikombe mchezaji wa TUMESHERIA Sports Club,Bi Tatu baada ya kuibuka mshindi wa pili katika mchezo wa bao wa mashindano ya SHIMIWI yaliyomalizika mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Dy_Yqk6J4v8/VCVGaK9ln6I/AAAAAAAGl58/BXnBx1pWzN0/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
TUMESHERIA SPORTS CLUB YAAGWA KWENDA KUSHIRIKI SHIMIWI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dy_Yqk6J4v8/VCVGaK9ln6I/AAAAAAAGl58/BXnBx1pWzN0/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VwjVaQyPvhc/VCVGbpkDJlI/AAAAAAAGl6E/NexkkvzuKWk/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bU6i9EEhyws/VCVGgY2G7WI/AAAAAAAGl6M/xBBMKgFEWYk/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
JK ateua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
UTEUZI – TUME YA HAKI ZA BINADAMU.doc by moblog
10 years ago
Michuzi07 Jan
11 years ago
TheCitizen10 Feb
Swimathon donates sports gear to Dar club
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Simba Sports Club yawazawadi mashabiki wake
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Simba-zawadi-10.jpg)
Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na Washindi wa bahati nasibu pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Eag Group Iman Kajula kushoto na Msemaji wa Timu hiyo Manara.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Simba-zawadi-3.jpg)
Rais wa Simba Evans Aveva akikabidhi zawadi kwa Mmoja wa Washindi Uongozi wa klabu ya Simba umetoa zawadi kwa washindi wa bahati nasibu iliyochezeshwa siku ya Simba Day Aosti 8 mwaka huu wakati wa kilele cha sherehe za siku ya Simba Day zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lj5uK_syq2U/VDD4OTiBgoI/AAAAAAAGn9k/t7lUMQw9Oh0/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
UHAMIAJI SPORTS CLUB YAIFUNGISHA VIRAGO IKULU SC
Timu ya soka ya Uhamiaji imeweka historia katika michezo ya SHIMIWI baada ya kuifunga timu ya soka ya Ikulu bao moja kwa bila katika mchezo wa mtoano uliofanyika viwanja vya Morogoro Sec. mjini Morogoro na hivyo kuitoa timu hiyo ya Ikulu katika mashindano ya SHIMIWI.
Mchezo huo wa aina yake uliochezwa kwa vipindi viwili vya dakika thelathini ulianza kwa kasi huku timu ya Ikulu ikijitahidi kushambulia lango la Uhamiaji kupitia mshambuliaji wake Salehe...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Simba Sports Club yaandika historia, wazindua kadi mpya
Afisa Mtendaji Mkuuwa EAG Group Imani Kajula Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva pamoja na Makamu wa Rais wa Club ya Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ wakiwa wameshika mfano wa kadi ya club hiyo waliyoizindua mapema jana.
Klabu ya Simba hii imeandika historia kwa kuzindua Kadi Mpya za Wanachama ambazo zinamwezesha kila Mwanachama wa Simba kupata bima ya maisha hadi Tsh 250,000 ikiwa atafiwa na mwenza au mtoto au yeye mwenyewe kupitia bima ya maisha iitwayo Simba Pamoja....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sdIAlVsUDi8/XsKPBXY8RlI/AAAAAAALqr0/4bNBtHr_qvw0NOC-CVIYmQPXsbEiSxBZACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200518-WA0071.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWAPATIA 'TANZANIA PRISONS SPORTS CLUB'
![](https://1.bp.blogspot.com/-sdIAlVsUDi8/XsKPBXY8RlI/AAAAAAALqr0/4bNBtHr_qvw0NOC-CVIYmQPXsbEiSxBZACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200518-WA0071.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8EK5Yevhr3w/XsKMdFH7YpI/AAAAAAALqrg/6y5qj-FB27o4EBx9jCUisY1fnbqVwQ1awCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200518_094008%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iXCrDAw-yI4/XsKMbt-IgEI/AAAAAAALqrY/p1bgoOz__gEUxaiB5jnHUiXGURAjgxb8gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200518_094035%2B%25281%2529.jpg)
Na ASP. Lucas Mboje, DodomaKATIKA kutatua changamoto ya usafiri kwa Klabu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Magereza(Tanzania Prisons SC). Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleiman Mzee ameipatia Klabu hiyo Basi dogo aina ya Costa lenye thamani ya Tsh. Milioni 75 kwa ajili ya kuisafirisha Timu kwenda mikoa mbalimbali nchini.
Akizungumza katika makabidhiano ya gari hilo...
5 years ago
CCM BlogHOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,• Inspekta Jenerali wa Polisi,• Kamishna Mkuu wa Uhamiaji• Watendaji wa Tume,• Waandishi wa Habari,• Mabibi na Mabwana
Bwana...