Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yatia huruma

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Anord Okwi na kipa chupukizi Manyika Peter Jr, jana walimwaga machozi baada ya timu yao ya Simba kutoka sare ya bao 1-1 na Tanzania...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Shule ya Mwendapole yatia huruma

SHULE ya Msingi Mwendapole Kata ya Kibaha mkoani Pwani inahitaji sh milioni 100 zitakazowezesha kutatua changamoto zilizopo ikiwamo kukarabati vyumba vinane vya madarasa ambayo yalijengwa mwaka 1974. Vyumba hivyo kwa...

 

10 years ago

GPL

NI HURUMA TU, VINGINEVYO NISINGEKUNYWA!

NIWE mkweli, nilianza kunywa pombe zamani sana wakati ningali bado mdogo. Nimeambiwa awali nilikuwa nanyweshwa na wakubwa kwa kuwa nilikuwa napenda sana kulia, hivyo ili ninyamaze nilikuwa napewa kibakuli cha ulanzi, nikinywa tu nalala watu wanaendelea na shughuli zao za kujenga Taifa letu changa bila kusikia kelele za kitoto kikilia. Miaka mingi ilipita hatimaye nikawa nimehama kijijini kwetu na kuja mjini kuanza kujitegemea na...

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN ANATIA HURUMA

Staa wa muziki wa RnB, Chris Brown. Chicago, Marekani
MAPENZI yanaumiza! Hii ni baada ya staa wa muziki wa RnB, Chris Brown, mwishoni mwa wiki iliyopita kunaswa akiomba kumrudia ex-girlfriend ambaye ni modo na mtangazaji, Karrueche Tran. Karrueche Tran akiondoka kutoka katika Klabu ya Playboy huko Chicago, Marekani. Chriss na Karrueche waliachana hivi karibuni kufuatia staa huyo wa Kibao cha Royal kutomjulisha mpenzi wake huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Jamii, viongozi kuweni na huruma’

Maaskofu wameitaka jamii hususani viongozi kuwa na moyo wa huruma kwa Watanzania ili kuwatendea haki katika shughuli zao za maendeleo.

 

11 years ago

Habarileo

'Bunge Maalum muwe na huruma'

WAKATI Bunge Maalumu la Katiba lililoketi kwa siku 70 likiahirishwa ili kupisha Bunge la Bajeti linalotarajiwa kuanza Mei 6 mwaka huu, Mjumbe wa Bunge hilo, Balozi Seif Ali Idd amesikitikia muda na fedha, vinavyochezewa na baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis kuzindua mwaka wa huruma

Papa Francis leo atazindua mwaka wa huruma katika kanisa hilo, kipindi ambacho mapadri wataruhusiwa kutoa msamaha kwa wanawake walioavya mimba wanaoomba msamaha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je watoto waruhusiwe kifo cha huruma?

Bunge la Ubelgiji linatarajiwa kupigia kura mswada utakaowezesha watoto walio na ugonjwa usiotibika wakubaliwe kufa kifo cha huruma au 'Euthanasia'. Nini maoni yako?

 

10 years ago

IPPmedia

Huruma Surgeon Sr Safari dies aged 77


Huruma Surgeon Sr Safari dies aged 77
IPPmedia
The first Catholic nun to be Rotary Chapter President in Rotary Club of Rombo, Sr Dr Safari is dead and was buried yesterday at the Huruma Convent in Rombo District. Sr Safari who was also a surgeon aged 77 died at the Huruma Hospital on January 19, ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani