Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NI HURUMA TU, VINGINEVYO NISINGEKUNYWA!

NIWE mkweli, nilianza kunywa pombe zamani sana wakati ningali bado mdogo. Nimeambiwa awali nilikuwa nanyweshwa na wakubwa kwa kuwa nilikuwa napenda sana kulia, hivyo ili ninyamaze nilikuwa napewa kibakuli cha ulanzi, nikinywa tu nalala watu wanaendelea na shughuli zao za kujenga Taifa letu changa bila kusikia kelele za kitoto kikilia. Miaka mingi ilipita hatimaye nikawa nimehama kijijini kwetu na kuja mjini kuanza kujitegemea na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dengue itibiwe kitaalamu, si vinginevyo

Nchi yetu inapita katika kipindi kigumu wakati huu kutokana na ugonjwa wa homa ya dengue ambao awali ulidhaniwa kuikumba Dar es Salaam, lakini sasa umeenea katika maeneo mengi.

 

9 years ago

GPL

UTAMU WA PENZI NI NIPE,NIKUPE SI VINGINEVYO!

JUMAMOSI nyingine tulivu kabisa mpenzi msomaji tunakutana tena kwenye uwanja wetu maridhawa kabisa kupeana elimu ya uhusiano. Mapenzi ‘yana-run’ dunia hivyo si vibaya kila siku tukaendelea kuyajadili na kupeana mbinu mbalimbali ambazo zinasaidia katika maisha yetu ya kila siku. Kwa tuliokuwa pamoja wiki iliyopita tulijifunza faida za kufufua penzi lililokufa. Wengi sana mlinitumia ujumbe mfupi wa maandishi kuonesha mmeguswa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Natoa hadhari, vinginevyo ICC haikwepeki — 2

HAPA nchini Chama cha Mapinduzi wana kikosi cha green guard ambacho hakijasajiliwa ndani ya katib

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

Toto wataendelea kuwa watoto wa Yanga au vinginevyo?

Pengine majiji matatu makubwa yanayopendwa na kuheshimika zaidi Tanzania ni Dar es Salaam, Mwanza na Arusha. Ni kama ambavyo Waingereza wanathamini majiji ya London, Manchester na Birmingham. Katika soka, majiji hayo yote yana timu za Ligi Kuu na zimekuwa sehemu ya alama ya majiji hayo.

 

5 years ago

Michuzi

Biteko ataka mchango sekta ya madini kutazamwa vinginevyo






Jengo jipya litakalotumiwa na wafanyabiashara wa madini mkoani Geita ambalo lilijengwa kwa fedha za huduma kwa jamii (CSR) zilizotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) na kusimamiwa kwa ushirikiano baina ya mgodi huo na Halimashauri ya Mji wa Geita. (Picha na Wizara ya Madini). Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wafanyabiashara wa madini wa Mkoa wa Geita hivi karibuni alipofanya ziara ili kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi ya maendeleo inayofanywa kwa fedha za huduma za...

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA UCHAGUZI MKUU ITATANGAZWA NA NEC NA SI VINGINEVYO —LIPUMBA

 Mwenyekiti wa taifa wa Chama  cha Wananchi (CUF),Profesa   Ibrahim Lipumba akizungumza na baraza la uongozi wa chama hicho (hawapo pichani) iliyofanyika Makao Makuu ya Chama hicho jijini Dar es Salaam, wapili kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar,Nassor Ahmed na kushoto ni makamu Mwenyekiti wa chama cha Wananchi (CUF) Taifa,Duni Haji. Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Maalim Seif Shariff...

 

9 years ago

MillardAyo

TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi …

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limepitia ombi la chama cha wanasoka Tanzania SPUTANZA, TFF ambayo ilipokea ombi la SPUTANZA kushughulikia madai ya muda mrefu ya wachezaji wa zamani wa  Yanga, ambao waliachwa wakati wakiwa bado wanaidai klabu hiyo. December 24 mwenyekiti wa SPUTANZA Musa Kisoki alithibitisha kupatiwa ufumbuzi suala hilo. Wachezaji wanaoidai Yanga […]

The post TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi … appeared first on...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Simba yatia huruma

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Anord Okwi na kipa chupukizi Manyika Peter Jr, jana walimwaga machozi baada ya timu yao ya Simba kutoka sare ya bao 1-1 na Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani