Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dengue itibiwe kitaalamu, si vinginevyo

Nchi yetu inapita katika kipindi kigumu wakati huu kutokana na ugonjwa wa homa ya dengue ambao awali ulidhaniwa kuikumba Dar es Salaam, lakini sasa umeenea katika maeneo mengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NI HURUMA TU, VINGINEVYO NISINGEKUNYWA!

NIWE mkweli, nilianza kunywa pombe zamani sana wakati ningali bado mdogo. Nimeambiwa awali nilikuwa nanyweshwa na wakubwa kwa kuwa nilikuwa napenda sana kulia, hivyo ili ninyamaze nilikuwa napewa kibakuli cha ulanzi, nikinywa tu nalala watu wanaendelea na shughuli zao za kujenga Taifa letu changa bila kusikia kelele za kitoto kikilia. Miaka mingi ilipita hatimaye nikawa nimehama kijijini kwetu na kuja mjini kuanza kujitegemea na...

 

9 years ago

GPL

UTAMU WA PENZI NI NIPE,NIKUPE SI VINGINEVYO!

JUMAMOSI nyingine tulivu kabisa mpenzi msomaji tunakutana tena kwenye uwanja wetu maridhawa kabisa kupeana elimu ya uhusiano. Mapenzi ‘yana-run’ dunia hivyo si vibaya kila siku tukaendelea kuyajadili na kupeana mbinu mbalimbali ambazo zinasaidia katika maisha yetu ya kila siku. Kwa tuliokuwa pamoja wiki iliyopita tulijifunza faida za kufufua penzi lililokufa. Wengi sana mlinitumia ujumbe mfupi wa maandishi kuonesha mmeguswa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Natoa hadhari, vinginevyo ICC haikwepeki — 2

HAPA nchini Chama cha Mapinduzi wana kikosi cha green guard ambacho hakijasajiliwa ndani ya katib

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Usifanye biashara tu, ipangilie kitaalamu

Mpango wa biashara ni roho ya biashara, kwani ndiyo unaoonyesha dira ya biashara husika. Katika biashara tunasema bila kuwa na mipangilio inayoeleweka, hakuna mafanikio yatakayoonekana.

 

9 years ago

Mwananchi

Toto wataendelea kuwa watoto wa Yanga au vinginevyo?

Pengine majiji matatu makubwa yanayopendwa na kuheshimika zaidi Tanzania ni Dar es Salaam, Mwanza na Arusha. Ni kama ambavyo Waingereza wanathamini majiji ya London, Manchester na Birmingham. Katika soka, majiji hayo yote yana timu za Ligi Kuu na zimekuwa sehemu ya alama ya majiji hayo.

 

10 years ago

Vijimambo

MWAKALEBELA: WANASIASA TUSIINGILIE KAZI ZA KITAALAMU

Mkuu wa Wilaya wa Wanging’ombe, mkoani Njombe Frederick Mwakalebela akifungua warsha ya kujifunza kwa pamoja juu ya utekelezaji wa mpango wa usimamizi na matumizi endelevu ya rasilimaliza maji (UMURAME) iliyoandaliwa na Bodi ya Maji Bonde la Rufiji kwa kushirikiana na Shirika la WWF Tanzania iliyofanyika mkoani Njombe jana. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)Mkuu wa Wilaya wa Wanging’ombe, mkoani Njombe Frederick Mwakalebela (wa tatu kushoto walioketi) akiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu

SERIKALI imeamua kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu Tanzania katika mwaka ujao wa fedha, itakayosimamia masuala ya walimu, ikiwemo usajili, uendelezaji wa walimu na maadili ya kazi ya ualimu.

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA UCHAGUZI MKUU ITATANGAZWA NA NEC NA SI VINGINEVYO —LIPUMBA

 Mwenyekiti wa taifa wa Chama  cha Wananchi (CUF),Profesa   Ibrahim Lipumba akizungumza na baraza la uongozi wa chama hicho (hawapo pichani) iliyofanyika Makao Makuu ya Chama hicho jijini Dar es Salaam, wapili kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar,Nassor Ahmed na kushoto ni makamu Mwenyekiti wa chama cha Wananchi (CUF) Taifa,Duni Haji. Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Maalim Seif Shariff...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani