MWAKALEBELA: WANASIASA TUSIINGILIE KAZI ZA KITAALAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-X6-4xmqXcQo/VcRohgXRLAI/AAAAAAAAFaM/UnFDu_hwTBk/s72-c/DC.jpg)
Mkuu wa Wilaya wa Wanging’ombe, mkoani Njombe Frederick Mwakalebela akifungua warsha ya kujifunza kwa pamoja juu ya utekelezaji wa mpango wa usimamizi na matumizi endelevu ya rasilimaliza maji (UMURAME) iliyoandaliwa na Bodi ya Maji Bonde la Rufiji kwa kushirikiana na Shirika la WWF Tanzania iliyofanyika mkoani Njombe jana. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)
Mkuu wa Wilaya wa Wanging’ombe, mkoani Njombe Frederick Mwakalebela (wa tatu kushoto walioketi) akiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/--O1XrdLsLjc/VfBpdvRhX6I/AAAAAAACAfU/dBXrfoauy3c/s72-c/blogger-image--456367688.jpg)
ACT WAZALENDO WASEMA MCHUANO IRINGA NI CHIKU ,MWAKALEBELA NA MASASI ,MCHUNGAJI MSIGWA ASICHAGULIWE KASHINDWA KAZI
![](http://lh3.googleusercontent.com/--O1XrdLsLjc/VfBpdvRhX6I/AAAAAAACAfU/dBXrfoauy3c/s640/blogger-image--456367688.jpg)
Katibu Wilaya wa ACT wazalendo Wilaya ya Iringa Bw Zhenepa Ally leo wakati wa mkutano wa kampeni za Mgombea Ubunge wa jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao ( ACT wazalendo) kwenye kata ya Kitwiru .
Alisema...
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Tambaza: Wanasiasa wanakwamisha utendaji kazi
MOJA ya hatua ya kuliweka jiji la Dar es salaam kuwa safi ni kuondoa uchafu, magari yanayoegesha vibaya na gereji bubu zilizoko katika maeneo mengi. Kutokana na hali hiyo, kampuni...
9 years ago
Habarileo08 Dec
Wanasiasa waonywa kuingilia kazi za NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka viongozi wa vyama vya siasa na serikali kuitoingilia mchakato wa kusimamia na kuendesha uchaguzi, bali wawaache maofisa wa Tume hiyo kufanya kazi yao.
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Usifanye biashara tu, ipangilie kitaalamu
11 years ago
Mwananchi20 May
Dengue itibiwe kitaalamu, si vinginevyo
11 years ago
Habarileo20 May
Serikali kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu
SERIKALI imeamua kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu Tanzania katika mwaka ujao wa fedha, itakayosimamia masuala ya walimu, ikiwemo usajili, uendelezaji wa walimu na maadili ya kazi ya ualimu.
9 years ago
StarTV12 Sep
Viroba 17 vya bangi yakamatwa yakisafirishwa kitaalamu
Polisi Ruvuma yakamata magunia 17 ya bangi Polisi mkoani Ruvuma imefanikiwa kukamata Magunia 17 ya Bangi yakiwa na uzito wa kilo 340.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Revocatus Malimi amesema magunia hayo ya Bangi yamekamatwa katika Kata ya Subira yakiwa kwenye Gari lenye namba za usajili T588 BBJ ambapo Dereva na wenye mizigo wamelitelekeza gari hilo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Revocatus Malimi amesema baada ya kupata taarifa kwa Wasamaria wema walitoa tarifa ya...
10 years ago
StarTV28 Dec
Wajasiriamali waaswa kuendesha biashara zao kitaalamu.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Wajasiriamali nchini wametakiwa kujifunza mbinu za kuendesha biashara zao kitaalamu ili kukuza mitaji.
Hatua hiyo itazijafanya biashara hizo kuwa endelevu na zenye tija.
Ni katika uzinduzi wa kitabu cha Mjasiriamali kinacholenga kutoa elimu itakayowasaidia wajasiriamali wadogo na wa kati kukuza mitaji ya biashara zao kitaalamu badala ya kuendesha biashara za kuiga ama kufuata mkumbo ambazo mara nyingi si endelevu.
Mtunzi wa kitabu hicho mjasiriamali mdogo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GPT441M5v5s/VJPi1Qj-kzI/AAAAAAAG4X4/vf9b0xZdw0A/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
waalimu pemba katika warsha ya usomeshaji na utungaji mitihani kitaalamu
![](http://4.bp.blogspot.com/-GPT441M5v5s/VJPi1Qj-kzI/AAAAAAAG4X4/vf9b0xZdw0A/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X8Y66Rsc_m4/VJPi0V7OGUI/AAAAAAAG4Xw/atyag6s3iKM/s1600/unnamed%2B(36).jpg)