Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAKALEBELA: WANASIASA TUSIINGILIE KAZI ZA KITAALAMU

Mkuu wa Wilaya wa Wanging’ombe, mkoani Njombe Frederick Mwakalebela akifungua warsha ya kujifunza kwa pamoja juu ya utekelezaji wa mpango wa usimamizi na matumizi endelevu ya rasilimaliza maji (UMURAME) iliyoandaliwa na Bodi ya Maji Bonde la Rufiji kwa kushirikiana na Shirika la WWF Tanzania iliyofanyika mkoani Njombe jana. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)Mkuu wa Wilaya wa Wanging’ombe, mkoani Njombe Frederick Mwakalebela (wa tatu kushoto walioketi) akiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

ACT WAZALENDO WASEMA MCHUANO IRINGA NI CHIKU ,MWAKALEBELA NA MASASI ,MCHUNGAJI MSIGWA ASICHAGULIWE KASHINDWA KAZI

Na MatukiodaimablogCHAMA Cha ACT wazalendo kimewataka wananchi wa jimbo la Iringa Mjini kuwapima wagombea watatu waliojitokeza kuomba kuchaguliwa kupokea  nafasi ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Mchungaji Peter Msigwa ( Chadema)kwa madai kuwa hapaswi tena kupewa kura katika jimbo hilo.
Katibu Wilaya  wa ACT wazalendo Wilaya ya  Iringa Bw Zhenepa Ally leo wakati wa mkutano wa kampeni za Mgombea Ubunge wa jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao ( ACT wazalendo) kwenye kata ya Kitwiru .
Alisema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza: Wanasiasa wanakwamisha utendaji kazi

MOJA ya hatua ya kuliweka jiji la Dar es salaam kuwa safi ni kuondoa uchafu, magari yanayoegesha vibaya na gereji bubu zilizoko katika maeneo mengi. Kutokana na hali hiyo, kampuni...

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kuingilia kazi za NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka viongozi wa vyama vya siasa na serikali kuitoingilia mchakato wa kusimamia na kuendesha uchaguzi, bali wawaache maofisa wa Tume hiyo kufanya kazi yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Usifanye biashara tu, ipangilie kitaalamu

Mpango wa biashara ni roho ya biashara, kwani ndiyo unaoonyesha dira ya biashara husika. Katika biashara tunasema bila kuwa na mipangilio inayoeleweka, hakuna mafanikio yatakayoonekana.

 

11 years ago

Mwananchi

Dengue itibiwe kitaalamu, si vinginevyo

Nchi yetu inapita katika kipindi kigumu wakati huu kutokana na ugonjwa wa homa ya dengue ambao awali ulidhaniwa kuikumba Dar es Salaam, lakini sasa umeenea katika maeneo mengi.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu

SERIKALI imeamua kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu Tanzania katika mwaka ujao wa fedha, itakayosimamia masuala ya walimu, ikiwemo usajili, uendelezaji wa walimu na maadili ya kazi ya ualimu.

 

9 years ago

StarTV

Viroba 17 vya bangi yakamatwa yakisafirishwa kitaalamu

Polisi Ruvuma yakamata magunia 17 ya bangi Polisi mkoani Ruvuma imefanikiwa kukamata Magunia 17 ya Bangi yakiwa na uzito wa kilo 340.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Revocatus Malimi amesema magunia hayo ya Bangi yamekamatwa katika Kata ya Subira yakiwa kwenye Gari lenye namba za usajili T588 BBJ ambapo Dereva na wenye mizigo wamelitelekeza gari hilo.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Revocatus Malimi amesema baada ya kupata taarifa kwa Wasamaria wema walitoa tarifa ya...

 

10 years ago

StarTV

Wajasiriamali waaswa kuendesha biashara zao kitaalamu.

Na Amina Saidi, Mbeya.

Wajasiriamali nchini wametakiwa kujifunza mbinu za kuendesha biashara zao kitaalamu ili kukuza mitaji.

Hatua hiyo itazijafanya biashara hizo kuwa endelevu na zenye tija.

Ni katika uzinduzi wa kitabu cha Mjasiriamali kinacholenga kutoa elimu itakayowasaidia wajasiriamali wadogo na wa kati kukuza mitaji ya biashara zao kitaalamu badala ya kuendesha biashara za kuiga ama kufuata mkumbo ambazo mara nyingi si endelevu.

Mtunzi wa kitabu hicho mjasiriamali mdogo...

 

10 years ago

Michuzi

waalimu pemba katika warsha ya usomeshaji na utungaji mitihani kitaalamu

 WASHIRIKI ambao ni waalimu wa vyuo mbali mbali kisiwani Pemba, kikiwemo chuo cha amali Vitongoji Chakechake, wakimsikiliza Afisa wa mafunzo ya amali Pemba, mwalimu Othuma Zaidi Othaman wakati akielezea umuhimu wa mafunzo kwa waalimu hao, juu ya namna ya kuandaa mitihani kwa njia ya kisasa  MRATIBU wa Mamlaka ya mafunzo ya amali Pemba mwalimu Juma Suleiman, akimkabidhi mmoja wa waalimu wa vyuo mbali mbali ambao wamemaliza mafunzo yao ya siku kumi ya kuwapa mbinu waalimu ya usomeshaji na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani