Viroba 17 vya bangi yakamatwa yakisafirishwa kitaalamu
Polisi Ruvuma yakamata magunia 17 ya bangi Polisi mkoani Ruvuma imefanikiwa kukamata Magunia 17 ya Bangi yakiwa na uzito wa kilo 340.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Revocatus Malimi amesema magunia hayo ya Bangi yamekamatwa katika Kata ya Subira yakiwa kwenye Gari lenye namba za usajili T588 BBJ ambapo Dereva na wenye mizigo wamelitelekeza gari hilo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Revocatus Malimi amesema baada ya kupata taarifa kwa Wasamaria wema walitoa tarifa ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Aug
Msako wanasa bunduki, viroba vya konyagi
JESHI la Polisi mkoani Kagera limekamata bunduki moja ya kivita ikiwa imefukiwa ardhini pamoja na viroba bandia vya pombe aina ya konyagi katoni 20.
11 years ago
MichuziWATUMIWA SUGU WA KUCHAKACHUA VIROBA VYA KONYAGI WASHINDWA DHAMANA NA KURUDISHWA RUMANDE.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgTM2-1*tam6HXYbVXiPbplNz-eGA6929V7YJ2CvlsFyiRRQqUGYhaI45C18mETFyfrIng8lgd4qmgZYzZTOFVTi/viroba.jpg)
VIROBA SI CHAI!
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Usifanye biashara tu, ipangilie kitaalamu
11 years ago
Mwananchi20 May
Dengue itibiwe kitaalamu, si vinginevyo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-X6-4xmqXcQo/VcRohgXRLAI/AAAAAAAAFaM/UnFDu_hwTBk/s72-c/DC.jpg)
MWAKALEBELA: WANASIASA TUSIINGILIE KAZI ZA KITAALAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-X6-4xmqXcQo/VcRohgXRLAI/AAAAAAAAFaM/UnFDu_hwTBk/s640/DC.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZnsFDXqix_E/VcRojWztXHI/AAAAAAAAFaU/e8mMUGvBAAw/s640/GROUP%2BPIX.jpg)
11 years ago
Habarileo20 May
Serikali kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu
SERIKALI imeamua kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu Tanzania katika mwaka ujao wa fedha, itakayosimamia masuala ya walimu, ikiwemo usajili, uendelezaji wa walimu na maadili ya kazi ya ualimu.
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Snura akwepa ‘viroba’ stejini
NA RHOBI CHACHA
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi, alijikuta akirushiwa pombe zilizokuwa katika vifuko vidogo maarufu viroba akiwa jukwaani kama njia ya kumshangilia kwa uchezaji wake.
Snura alipanda jukwaani na kuimba wimbo wake ulioshika chati nchini wa ‘Nimevurugwa’ katika onyesho la miaka 16 ya msanii Juma Nature lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini.
Snura akiwa jukwaani, shabiki mmoja alimfuata na kumtunza kiroba kisha idadi...