Usifanye biashara tu, ipangilie kitaalamu
Mpango wa biashara ni roho ya biashara, kwani ndiyo unaoonyesha dira ya biashara husika. Katika biashara tunasema bila kuwa na mipangilio inayoeleweka, hakuna mafanikio yatakayoonekana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV28 Dec
Wajasiriamali waaswa kuendesha biashara zao kitaalamu.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Wajasiriamali nchini wametakiwa kujifunza mbinu za kuendesha biashara zao kitaalamu ili kukuza mitaji.
Hatua hiyo itazijafanya biashara hizo kuwa endelevu na zenye tija.
Ni katika uzinduzi wa kitabu cha Mjasiriamali kinacholenga kutoa elimu itakayowasaidia wajasiriamali wadogo na wa kati kukuza mitaji ya biashara zao kitaalamu badala ya kuendesha biashara za kuiga ama kufuata mkumbo ambazo mara nyingi si endelevu.
Mtunzi wa kitabu hicho mjasiriamali mdogo...
11 years ago
Mwananchi27 May
Usifanye makosa haya unapoajiriwa
9 years ago
Mwananchi20 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pchumt86h14/VPVrlkaXVQI/AAAAAAAHHSg/9vJINZeSMfE/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: USIFANYE MAKOSA, HUU NDIO UTARATIBU WA KUNUNUA NYUMBA ILIYOWEKWA REHANI/DHAMANA BENKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pchumt86h14/VPVrlkaXVQI/AAAAAAAHHSg/9vJINZeSMfE/s1600/law_5.jpg)
Nimewahi kuandika mara kwa mara kuhusu utaratibu mzuri wa kumwezesha mtu kununua nyumba huku akiwa ameepuka mgogoro. Nilitahadharisha sana kuhusu migogoro ya ardhi ambayo sasa imekuwa janga la kitaifa hapa kwetu. Nakumbuka moja kati ya mambo niliyoeleza ni kuwa utaratibu wa manunuzi ya nyumba/viwanja unatofautiana.Nikasema kwamba tofauti zake zinatokana na ukweli kuwa kila nyumba ina mazingira yake. Hata hivyo sikusema...
11 years ago
Mwananchi20 May
Dengue itibiwe kitaalamu, si vinginevyo
11 years ago
Habarileo20 May
Serikali kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu
SERIKALI imeamua kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu Tanzania katika mwaka ujao wa fedha, itakayosimamia masuala ya walimu, ikiwemo usajili, uendelezaji wa walimu na maadili ya kazi ya ualimu.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-X6-4xmqXcQo/VcRohgXRLAI/AAAAAAAAFaM/UnFDu_hwTBk/s72-c/DC.jpg)
MWAKALEBELA: WANASIASA TUSIINGILIE KAZI ZA KITAALAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-X6-4xmqXcQo/VcRohgXRLAI/AAAAAAAAFaM/UnFDu_hwTBk/s640/DC.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZnsFDXqix_E/VcRojWztXHI/AAAAAAAAFaU/e8mMUGvBAAw/s640/GROUP%2BPIX.jpg)
9 years ago
StarTV12 Sep
Viroba 17 vya bangi yakamatwa yakisafirishwa kitaalamu
Polisi Ruvuma yakamata magunia 17 ya bangi Polisi mkoani Ruvuma imefanikiwa kukamata Magunia 17 ya Bangi yakiwa na uzito wa kilo 340.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Revocatus Malimi amesema magunia hayo ya Bangi yamekamatwa katika Kata ya Subira yakiwa kwenye Gari lenye namba za usajili T588 BBJ ambapo Dereva na wenye mizigo wamelitelekeza gari hilo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Revocatus Malimi amesema baada ya kupata taarifa kwa Wasamaria wema walitoa tarifa ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GPT441M5v5s/VJPi1Qj-kzI/AAAAAAAG4X4/vf9b0xZdw0A/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
waalimu pemba katika warsha ya usomeshaji na utungaji mitihani kitaalamu
![](http://4.bp.blogspot.com/-GPT441M5v5s/VJPi1Qj-kzI/AAAAAAAG4X4/vf9b0xZdw0A/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X8Y66Rsc_m4/VJPi0V7OGUI/AAAAAAAG4Xw/atyag6s3iKM/s1600/unnamed%2B(36).jpg)