Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa waonywa kuingilia kazi za NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka viongozi wa vyama vya siasa na serikali kuitoingilia mchakato wa kusimamia na kuendesha uchaguzi, bali wawaache maofisa wa Tume hiyo kufanya kazi yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa wanaonunua madaraka waonywa

Mohamed RazaWANANCHI wametakiwa kuwa waangalifu na wanasiasa wanaotumia rushwa kutaka uongozi kwani hawana nia kuongoza nchi.

 

11 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kuhusu urani

WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la IPTL, sasa wanasiasa waonywa

Wanasiasa wametakiwa kukaa kimya na kusubiri matokeo ya ripoti ya IPTL itakayotolewa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) watakapoendelea kuongea watasababisha kuchakachuliwa.

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kumsemea Rais Kikwete

VIONGOZI wa kisiasa wametakiwa kutomsemea wala kumuwekea maneno mdomoni Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete kuwa ana nia ya kukata baadhi ya majina ya ugombea urais kwenye uchaguzi mkuu.

 

9 years ago

StarTV

Watanzania waonywa dhidi ya kutumiwa na wanasiasa

WAUMINI wa dini mbalimbali nchini na Watanzania kwa ujumla wameonywa juu ya kuacha kukubali kutumiwa na wanasiasa kufanya vitendo vya kuvunja sheria siku ya uchaguzi  mkuu, hali inayoweza  kuleta  vurugu na kuvuruga amani na utulivu

Mmoja wa viongozi wa dini ya Kiislamu mkoani Singida Shekhe Issa Nasoro amesema leo kuwa kauli  kinzani za Tume ya uchaguzi, Serikali na baadhi ya wanasiasa kubaki au kuondoka vituoni baada ya kupiga kura zinapaswa kupimwa na kila mtu kutumia akili  zake ili...

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa mpango wa kunusuru kaya maskini

Said Meck Sadiki VIONGOZI na wanasiasa wameaswa kutotumia mpango wa kunusuru kaya masikini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuingiza majina ya watu ambao si walengwa.

 

10 years ago

Habarileo

Wajumbe wa NEC wa CCM Dodoma waonywa

MWENYEKITI CCM, Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewataka wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya mkoa huo kuacha kujitwisha misalaba ya wagombea urais huku wakiwa hawajui hatma ya maeneo yao wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

NEC, wanasiasa kujadili daftari la wapigakura

 James Mbatia WAKATI Uandikishaji katika daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu ya wiki ijayo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo inakutana na Vyama vya siasa kujadili mchakato huo.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC: Wanasiasa acheni kutumia majukwaa vibaya

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewataka viongozi wa vyama vya siasa kuacha kutumia majukwaa vibaya katika muda uliobaki badala yake wanadi sera zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani