Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simu bilioni moja za Android zimo hatarini kudukuliwa.

Zaidi ya vifaa bilioni moja vya Androiod vimo katika hatari ya kudukuliwa kwasababu havilindwi na app za usalama au waangalizi wa usalama wake ambao wamesema hayo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja hatarini Urusi

Shirika la Human Rights Watch, linasema kuwa visa vya wapenzi wa jinsia moja kushambuliwa vinaendelea kuongezeka hasa tangu serikali kupiga marufuku propaganda zozote kuhusu mapenzi ya jinsia moja

 

10 years ago

BBCSwahili

Je una simu ya Android ?Soma utafiti huu

Betri ya Simu za Android zinatumika kufuatilia watumizi wake uchunguzi umebaini

 

11 years ago

Mwananchi

Kicheko kwa watumiaji wa simu za mfumo wa Android

Miongoni mwa changamoto kubwa iliyopo sasa katika nchi zilizoendelea na zinazoendelea kwa watumiaji wa simu za mikononi ni kupotewa na simu zao ama kuibwa.

 

10 years ago

Michuzi

Hospitali ya AMI hatarini kufurushwa kwa kutolipa kodi ya pango ya bilioni tatu

Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara imeamuru kufurushwa kwenye jengo hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Msasani Jijini Dar es Salaam, baada ya kushindwa kulipa kodi ya pango kwa zaidi ya miezi 26, inayofikia zaidi ya dola za kimarekani milioni 1.6 (zaidi ya Shilingi Bilioni tatu za Kitanzania).
Hatua hii imefikiwa baada ya mabishano ya muda mrefu ya kisheria baina ya AMI na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa jengo hilo, Bw. Navtej Singh...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android

Kama ni mtumiaji wa simu za Android (kama mimi) lazima umekwisha kutana na jambo hili. Mara kwa mara simu yako itakupa ujumbe kuwa imejaa. Kinachosababsha simu yako kujaa mapema si simu bali ni program (applications) unazopakua na kutumia pia maudhui kama vile picha, muziki na video.

Je unawezje kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android? Tutatumia mfano wa Huawei Y360. Sababu ya kutumia aina hii ya simu kama mfano ni kwa vile inaaminika na kupendwa na watu wengi, japo ni simu mpya hapa...

 

11 years ago

Ykileo

WASIWASI WA KIUSALAMA MTANDAO WA TANDA KWA WATUMIAJI SIMU ZA ANDROID

Ransomware Gang, imebashiriwa kuleta athari kubwa sana kwa watumiaji wa simu za androids. Kauli hii iliainishwa na mkurugenzi mkuu wa Trend Micro bwana JD Sherry baada ya kunukuliwa akisema mwaka huu wa 2014 watumiaji simu wanategemea kuathirika zaidi kiusalama mtandao huku akionyesha wasi wasi kuwa wateja/watumiaji wa simu hizo hawako tayari (bado hawajajipanga) kukabiliana na changamoto hii ya kiusalama.



Kile kilicho onekana sana kwa watumiaji wa komputa ambapo wahalifu wanazifunga...

 

5 years ago

BBCSwahili

Gaurav Agrawal : 'Jinsi picha yangu ilivyoharibu simu za Android'

Gaurav Agrawal anasema kuwa ilikuwa jioni moja alipoipiga picha mandhari nzuri lakini hakudhamiria kusababisha madhara kwa watumiaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siwa za bilioni moja zafutwa

SIWA mbili za Bunge zilizopendekezwa na Kamati ya Kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba zilizotarajia kugharimu sh bilioni moja, hazitanunuliwa tena.  Siwa hizo zenye urefu wa mita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani