Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je una simu ya Android ?Soma utafiti huu

Betri ya Simu za Android zinatumika kufuatilia watumizi wake uchunguzi umebaini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Je umeambukizwa Nomophobia? Soma utafiti

Je unasikiaje unaposahau simu yako nyumbani ? Ikiwa unahangaika na kushikwa na wasiwasi jua kuwa tayari umeshikwa na ugonjwa wa Nomophobia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwanini wanaume wanajitoa uhai ? Soma utafiti

Utafiti umeonesha kuwa wanaume wenye umri kati ya 40-50 wamo katika hatari kubwa ya kujinyonga

 

11 years ago

Mwananchi

Kicheko kwa watumiaji wa simu za mfumo wa Android

Miongoni mwa changamoto kubwa iliyopo sasa katika nchi zilizoendelea na zinazoendelea kwa watumiaji wa simu za mikononi ni kupotewa na simu zao ama kuibwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android

Kama ni mtumiaji wa simu za Android (kama mimi) lazima umekwisha kutana na jambo hili. Mara kwa mara simu yako itakupa ujumbe kuwa imejaa. Kinachosababsha simu yako kujaa mapema si simu bali ni program (applications) unazopakua na kutumia pia maudhui kama vile picha, muziki na video.

Je unawezje kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android? Tutatumia mfano wa Huawei Y360. Sababu ya kutumia aina hii ya simu kama mfano ni kwa vile inaaminika na kupendwa na watu wengi, japo ni simu mpya hapa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Simu bilioni moja za Android zimo hatarini kudukuliwa.

Zaidi ya vifaa bilioni moja vya Androiod vimo katika hatari ya kudukuliwa kwasababu havilindwi na app za usalama au waangalizi wa usalama wake ambao wamesema hayo.

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce na Jay Z kununua mjengo huu, una thamani ya shilingi bilioni 145 (Picha)

Mwaka 2014, Beyonce peke yake aliingiza zaidi ya dola milioni 115 na Jay Z aliingiza zaidi ya dola milioni 60 na hivyo si kitu cha kushangaza kama wanandoa hao wenye nguvu wakitoa dola milioni 85, kununua mjengo wa kifahari uliopo huko, Beverly Hills estate. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Bey bna Jay wameonekana kwenye […]

 

11 years ago

Ykileo

WASIWASI WA KIUSALAMA MTANDAO WA TANDA KWA WATUMIAJI SIMU ZA ANDROID

Ransomware Gang, imebashiriwa kuleta athari kubwa sana kwa watumiaji wa simu za androids. Kauli hii iliainishwa na mkurugenzi mkuu wa Trend Micro bwana JD Sherry baada ya kunukuliwa akisema mwaka huu wa 2014 watumiaji simu wanategemea kuathirika zaidi kiusalama mtandao huku akionyesha wasi wasi kuwa wateja/watumiaji wa simu hizo hawako tayari (bado hawajajipanga) kukabiliana na changamoto hii ya kiusalama.



Kile kilicho onekana sana kwa watumiaji wa komputa ambapo wahalifu wanazifunga...

 

5 years ago

BBCSwahili

Gaurav Agrawal : 'Jinsi picha yangu ilivyoharibu simu za Android'

Gaurav Agrawal anasema kuwa ilikuwa jioni moja alipoipiga picha mandhari nzuri lakini hakudhamiria kusababisha madhara kwa watumiaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani