Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je umeambukizwa Nomophobia? Soma utafiti

Je unasikiaje unaposahau simu yako nyumbani ? Ikiwa unahangaika na kushikwa na wasiwasi jua kuwa tayari umeshikwa na ugonjwa wa Nomophobia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je una simu ya Android ?Soma utafiti huu

Betri ya Simu za Android zinatumika kufuatilia watumizi wake uchunguzi umebaini

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwanini wanaume wanajitoa uhai ? Soma utafiti

Utafiti umeonesha kuwa wanaume wenye umri kati ya 40-50 wamo katika hatari kubwa ya kujinyonga

 

9 years ago

StarTV

Soma kiundani kuhusu Taharuki ya Mv Serengeti

Abiria pamoja na wakazi wa Manispaa ya Bukoba wameingiwa na taharuki baada ya meli ya MV Serengeti kushindwa kutia nanga kwa saa tano katika bandari ya Bukoba.

Meli hiyo iliyochukua nafasi ya MV. Victoria kutoa huduma ya usafiri kati ya Mwanza na Bukoba inadaiwa kushindwa kutia nanga kutokana na hali mbaya ya hewa iliyosababishwa na upepo mkali katika ufukwe wa ziwa Victoria.

Majira ya saa kumi na moja alfajiri ,muda ambao Meli ya Mv Serengeti huwasili bandarini ,lakini jana hali ni tofauti...

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUZAA MAPACHA? SOMA HAPA-2

Leo namalizia kuwaletea makala haya yanayohusu elimu mpya ya uzazi, mwanamke yeyote anaweza kupata ujauzito wenye watoto mapacha hata kama si asili ya ukoo wake, ungana nami sehemu ya mwisho. WENYE TABIA HII NDIYO WANAONGOZA Wanawake wengi wanaoongoza kwa kushika mimba za mapacha ni wale ambao wakati wa kulala wanabadili staili mara kwa mara.Mara nyingi inashauriwa kuwa, mwanamke akishaingia kwenye siku zake za hatari kulingana...

 

10 years ago

Vijimambo

Soma Mwanangu song by Bony Mwaitege



Song ; Soma MwananguArtist ; Bony Mwaitege feat Bahati BukukuProduced By KAMETAWritten By Boniface Mwaitege

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUZAA MAPACHA? SOMA HAPA

Leo nimeonelea kuwaletea elimu mpya kabisa ya uzazi ambapo mwanamke yeyote anaweza kupata ujauzito wenye watoto mapacha hata kama si asili ya ukoo wake. Nimetumia neno ‘mwanamke yeyote’ kwa sababu kuna imani ya miaka na miaka kwamba, si kila mwanamke anaweza kupata ujauzito bali itategemea na asili yake. IMANI ZA KALE KUHUSU UJAUZITO
Baadhi ya mila na desturi, hasa katika nchi za Kiafrika zinaamini kwamba, mwanamke kupata...

 

10 years ago

GPL

UNAAMBULIA MAUMIVU KILA UKIPENDA? SOMA

HAPAWENGI sana wanaumizwa penzini, wanakutana na mtu na kutupa mapenzi yao yote lakini ndani ya muda mfupi wanaambulia maumivu. Wanasema labda siyo bahati yao, wanahamia kwingine lakini nako pia wanakuta yaleyale hapo ndipo baadhi yao wanapoanza kusema; oooh, mimi sina bahati, oooh labda sijapangiwa kuishi na mume au mke kwani anaona umri unazidi kuyoyoma pasipo kumpata mwenza wa maisha.Ndugu zangu, kuna kitu cha kujifunza katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wachezaji mmelielewa vizuri soma la Kavumbagu?

KUNA tofauti kubwa ya mchezaji aliyezaliwa Tanzania na asiyezaliwa Tanzania.

Abdul Mkeyenge

 

10 years ago

BBCSwahili

Je umetoboa sehemu za siri?soma hapa.

Wanawake wote walioamua kupamba sehemu zao za siri kwa kuzitoboa wanachukuliwa kuwa wamepitia ukatili wa kijinsia ama wamekeketwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani