Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAAMBULIA MAUMIVU KILA UKIPENDA? SOMA

HAPAWENGI sana wanaumizwa penzini, wanakutana na mtu na kutupa mapenzi yao yote lakini ndani ya muda mfupi wanaambulia maumivu. Wanasema labda siyo bahati yao, wanahamia kwingine lakini nako pia wanakuta yaleyale hapo ndipo baadhi yao wanapoanza kusema; oooh, mimi sina bahati, oooh labda sijapangiwa kuishi na mume au mke kwani anaona umri unazidi kuyoyoma pasipo kumpata mwenza wa maisha.Ndugu zangu, kuna kitu cha kujifunza katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Si kila homa, maumivu ya kichwa ni Malaria

Watanzania wengi wamejenga tabia ya kunywa dawa za Malaria bila kupima afya zao na huku wakikosa huduma sahihi hali ambayo inaelezwa kuchangia kuenea kwa vimelea vya ugonjwa huo na kusababisha usugu wa dawa.

 

10 years ago

GPL

UKIPENDA PANAPOSTAHILI UTAONA THAMANI HALISI YA PENZI

KILA mtu angeyaheshimu mapenzi, angejua jinsi ya kulinda hisia za mwenzi wake, angeelewa maana ya kupenda. Asingekuwa na shaka pale anapopendwa. Angeishi ndani ya mwenzake, hivyo kuumizana kusingekuwepo, migogoro mikubwa na kuachana isingetokea. Migogoro mingi inatokea kwa sababu wengi wameyageuza mapenzi kama mchezo (game), hawajui kuwa saikolojia inaonya vitendo vya kuucheza shere moyo wa mtu. Kumfanyia hivyo mtu mwenye hisia...

 

10 years ago

GPL

UKIPENDA PANAPOSTAHILI UTAONA THAMANI HALISI YA PENZI-2

Katika somo lililopita kama nilivyogusia ushauri wa Brandon King na makala yake ya “Be aware of heart” nilieleza kuwa ni kosa kubwa kumuona mwenzi wako ana thamani ndogo na wakati huohuo ukawa unatoa kipaumbele kwa watu wa pembeni. Tafsiri inayotawala katika uhusiano ni kuwa kundi linalosumbua mno na kuonekana ni sugu kwa tabia ya namna hii ni lile ambalo linawahusisha memba wanaoingia kwenye uhusiano wa kimapenzi...

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA DIAMOND ANAITWA TIFFAH AU UKIPENDA LATIFAH

DIAMOND akifurahi na mtoto wake wa kike Tiffah

 

10 years ago

Vijimambo

WAJUE MAMIXOLOGISTS AU UKIPENDA DRINK MASTERS WANAO TAMBA DMV

 Evans Shangarai ambaye ndio anayejinyakulia kwa sasa hivi shughuli zote za mambo ya uuzaji kanywaji kwenye shughuli zote zinazoandaliwa na Watanzania DMV. katika picha Evans akimuhudumia Mashaka Bilali siku ya Jumatano Desemba 31, 2014 siku ya mkesha wa mwaka mpya ulioandaliwa na Jumuiya ya Watanzania DMV.
Didi Vava akiongea na Majid Zuberi baada ya kumhudumia siku ya Jumatano Desemba 31, 2014 siku ya mkesha wa mwaka mpya ulioandaliwa na Jumuiya ya Watanzania DMV.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

10 years ago

Raia Mwema

Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

10 years ago

Mtanzania

Gwajima maumivu

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
Ni maumivu. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kutoka Hospitali ya TMJ alikokuwa amelazwa kwa siku tano kwa kutumia baiskeli ya wagonjwa (wheelchair) kwenda Kituo cha Polisi Oysterbay kuhojiwa kwa mara ya pili.
Askofu Gwajima, alipandishwa kwenye baiskeli hiyo, baada ya kupelekewa na mmoja wa wafuasi ambaye alikuwa amevalia mavazi ya kichungaji.
Wakati akipelekwa katika gari Askofu Gwajima, alionekana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani