Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Si kila homa, maumivu ya kichwa ni Malaria

Watanzania wengi wamejenga tabia ya kunywa dawa za Malaria bila kupima afya zao na huku wakikosa huduma sahihi hali ambayo inaelezwa kuchangia kuenea kwa vimelea vya ugonjwa huo na kusababisha usugu wa dawa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tendo la ndoa; Tiba mbadala ya maradhi ya moyo, ubongo, maumivu ya kichwa?

>Ingawa tendo la ndoa lisipofanywa kwa kuzingatia kanuni na taratibu, sambamba na umakini, linaweza kusababisha maradhi, lakini kwa wanandoa, tendo  hilo linatajwa kuwa na manufaa mengi  kiafya tofauti na faraja ya kawaida iliyozoeleka kwa wengi.

 

9 years ago

Mwananchi

Fahamu kinachosababisha maumivu ya kichwa, harara, kiungulia mara kwa mara

Inaweza kukushangaza kuwa baadhi ya vyakula maarufu na vinavyopendwa, mathalani matunda ya jamii ya machungwa, machenza, malimao, ndimu, na mabalungi, vinaweza kukusababishia hisia za kuumwa.

 

11 years ago

Habarileo

Homa ya dengue kila kona

WAKATI watu 400 wakithibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya dengue, huku wengine watatu wakifariki dunia, Serikali imetoa taarifa kuhusu dalili za ugonjwa huo na namna inavyokabiliana nao. Mbali na kutoa taarifa hizo, Rais Jakaya Kikwete amewataka Watanzania popote walipo, wakipata dalili hizo, wasinywe dawa hovyo, badala yake waende kupima hospitali na kufuata ushauri wa kitaalamu.

 

10 years ago

GPL

UNAAMBULIA MAUMIVU KILA UKIPENDA? SOMA

HAPAWENGI sana wanaumizwa penzini, wanakutana na mtu na kutupa mapenzi yao yote lakini ndani ya muda mfupi wanaambulia maumivu. Wanasema labda siyo bahati yao, wanahamia kwingine lakini nako pia wanakuta yaleyale hapo ndipo baadhi yao wanapoanza kusema; oooh, mimi sina bahati, oooh labda sijapangiwa kuishi na mume au mke kwani anaona umri unazidi kuyoyoma pasipo kumpata mwenza wa maisha.Ndugu zangu, kuna kitu cha kujifunza katika...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Kila saa moja watu 10 wanakufa kwa Malaria

Na Albano Midelo UGONJWA wa malaria umeuwa watu 652 katika mkoa wa Ruvuma mwaka 2011 kati ya wagonjwa zaidi ya 43,000 waliougua ugonjwa huo katika kipindi hicho. Mratibu wa malaria mkoani Ruvuma, Kibua Kakolwa anabainisha kuwa kati ya wagonjwa waliopoteza maisha watoto chini ya umri wa miaka mitano walikuwa 334 na wenye umri wa zaidi ya miaka mitano walikuwa 318. Kwa mujibu wa mratibu huyo wa malaria katika mwaka huo pekee mkoa ulilaza wagonjwa wenye umri chini ya miaka mitano wapatao...

 

11 years ago

Mwananchi

Malaria huua mtoto kila baada ya sekunde 60 barani Afrika

wakati ikiwa imebaki miaka mitatu kabla ya kumalizika kwa kipindi cha kwanza cha Malengo ya Milenia (MDG) kumalizika, ugonjwa wa malaria hauonekani kukubali kudhibitiwa pamoja na jitihada mbalimbali zinazofanywa kuupunguza kama si kuuondoa kabisa.

 

10 years ago

Vijimambo

WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.

SIMBA V YANGA 8Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa siku ya jumapili kati ya Simba SC na Young African utakaofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10 kamili za jioni.Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika  kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).Viingilio vya mchezo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One

novartis

-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria

-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia

-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001

Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani