Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Sitakubali viongozi walalamikaji’

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema hayupo tayari kuona viongozi wakigeuka kuwa walalamikaji. Badala yake, amesema viongozi hao watabanwa, wachukue hatua na uamuzi mgumu kwa maslahi ya taifa na wananchi wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nyangwine: Tusichague viongozi walalamikaji

MBUNGE wa Tarime, Chacha Nyangwine (CCM), amewataka Watanzania kuwa makini katika kuwapitisha au kuwachagua watendaji wachapa kazi badala ya kuwachagua walalamikaji. Nyangwine alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipozungumza na wakazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walalamikaji wamkataa hakimu

WALALAMIKAJI 12 waliokuwa wafanyakazi wa taasisi ya mikopo ya FINCA Tanzania Ltd, ambao walifukuzwa kazi Juni mwaka jana, wamemkataa Hakimu Yusuph Lumumba, anayesikiliza shauri la mgogoro huo dhidi ya taasisi hiyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Baba Aliniambia Niingie Kwenye Siasa, Haya Sasa Naingia Vitani, Sitakubali Kushindwa

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambaye ametangaza nia kuwania ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM ameandika hayo kwenye ukursa wake Instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya zamani akiwa na mama yake pamoja  na Marehemu baba yake.

"Naanza kwa kusema Alhamdulillah kwa kufikia hapa nilipo na nawashkuru sana wazazi wangu kwa kunileta duniani na kunilea katika maadili mazuri.

Nawashkuru pia kwa kunipa Elimu na kunipa chochote nilichokitaka but more over kwa kunipa support kubwa...

 

11 years ago

Habarileo

Tusiigeuze Tanzania nchi ya walalamikaji-Filikunjombe

Deo FilikunjombeMBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM) amewataka Watanzania wakiwemo viongozi kuacha tabia ya kulalamika ili nchi iweze kupiga hatua kimaendeleo, badala ya kugeuka taifa la walalamikaji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tutakuwa nchi ya walalamikaji mpaka lini?

JUZI Naibu Spika, Job Ndugai, aliitaka Serikali kushughulikia suala la mauaji ya Kiteto yanayotokea mara kwa mara kiasi cha kulifananisha eneo hilo na nchi ya Somalia. Somalia ni miongoni mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani