Nyangwine: Tusichague viongozi walalamikaji
MBUNGE wa Tarime, Chacha Nyangwine (CCM), amewataka Watanzania kuwa makini katika kuwapitisha au kuwachagua watendaji wachapa kazi badala ya kuwachagua walalamikaji. Nyangwine alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipozungumza na wakazi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Oct
‘Sitakubali viongozi walalamikaji’
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema hayupo tayari kuona viongozi wakigeuka kuwa walalamikaji. Badala yake, amesema viongozi hao watabanwa, wachukue hatua na uamuzi mgumu kwa maslahi ya taifa na wananchi wake.
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Mchungaji: Tusichague viongozi kwa itikadi za siasa
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KANISA la Babtist Tanzania limesema katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu Watanzania wanatakiwa kuchagua kiongozi mwenye uwezo wa kuwatumikia wananchi bila kuangalia itikadi, kabila wala dini yake.
Kauli hiyo ilitolewa na Mwangalizi Mkuu wa Makanisa ya Babtist Tanzania, Mchungaji Anord Manase, wakati alipofungua kongamano la wanawake wa Kibabtisti nchini lililofanyika Chuo Kikuu cha Mount Meru wilayani Arumeru mkoani hapa.
Akizungumza katika...
11 years ago
Habarileo07 Jul
CUF: Tusichague rais kwa sababu ya ujana
VIJANA wanaotaka uongozi hususani nafasi ya urais, wameshauriwa kujenga hoja, kuonesha malezi mazuri waliyo nayo na karama ya uongozi, ili watu wabaini wawachague, badala ya kuegemea kigezo cha rika kuwapatia nafasi husika.
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Walalamikaji wamkataa hakimu
WALALAMIKAJI 12 waliokuwa wafanyakazi wa taasisi ya mikopo ya FINCA Tanzania Ltd, ambao walifukuzwa kazi Juni mwaka jana, wamemkataa Hakimu Yusuph Lumumba, anayesikiliza shauri la mgogoro huo dhidi ya taasisi hiyo...
11 years ago
Habarileo15 Jun
Tusiigeuze Tanzania nchi ya walalamikaji-Filikunjombe
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM) amewataka Watanzania wakiwemo viongozi kuacha tabia ya kulalamika ili nchi iweze kupiga hatua kimaendeleo, badala ya kugeuka taifa la walalamikaji.
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Tutakuwa nchi ya walalamikaji mpaka lini?
JUZI Naibu Spika, Job Ndugai, aliitaka Serikali kushughulikia suala la mauaji ya Kiteto yanayotokea mara kwa mara kiasi cha kulifananisha eneo hilo na nchi ya Somalia. Somalia ni miongoni mwa...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Wanaume wana haki ya asili - Nyangwine
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Kabaka, Nyangwine waanguka kura za maoni
10 years ago
Daily News05 Aug
Kabaka, Nyangwine experience defeat in Tarime
Daily News
Minister for Labour and Employment Ms Gaudensia Kabaka has been defeated in preferential elections for the newly-created Tarime Urban constituency. The winner of the polls is Mr Michael Kembaki who collected 3,908 votes against Ms Kabaka's 2,411.