Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusiigeuze Tanzania nchi ya walalamikaji-Filikunjombe

Deo FilikunjombeMBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM) amewataka Watanzania wakiwemo viongozi kuacha tabia ya kulalamika ili nchi iweze kupiga hatua kimaendeleo, badala ya kugeuka taifa la walalamikaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tutakuwa nchi ya walalamikaji mpaka lini?

JUZI Naibu Spika, Job Ndugai, aliitaka Serikali kushughulikia suala la mauaji ya Kiteto yanayotokea mara kwa mara kiasi cha kulifananisha eneo hilo na nchi ya Somalia. Somalia ni miongoni mwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walalamikaji wamkataa hakimu

WALALAMIKAJI 12 waliokuwa wafanyakazi wa taasisi ya mikopo ya FINCA Tanzania Ltd, ambao walifukuzwa kazi Juni mwaka jana, wamemkataa Hakimu Yusuph Lumumba, anayesikiliza shauri la mgogoro huo dhidi ya taasisi hiyo...

 

9 years ago

Habarileo

‘Sitakubali viongozi walalamikaji’

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema hayupo tayari kuona viongozi wakigeuka kuwa walalamikaji. Badala yake, amesema viongozi hao watabanwa, wachukue hatua na uamuzi mgumu kwa maslahi ya taifa na wananchi wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyangwine: Tusichague viongozi walalamikaji

MBUNGE wa Tarime, Chacha Nyangwine (CCM), amewataka Watanzania kuwa makini katika kuwapitisha au kuwachagua watendaji wachapa kazi badala ya kuwachagua walalamikaji. Nyangwine alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipozungumza na wakazi...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: Filikunjombe Dies in Chopper Crash


IPPmedia
Tanzania: Filikunjombe Dies in Chopper Crash
AllAfrica.com
A HELICOPTER crash in the middle of the Selous Game Reserve on Thursday evening claimed yet another life of a Parliamentary candidate in next week's general election, maverick Mr Deo Filikunjombe and three others on board. Police have confirmed that ...
Huge blow as Ludewa MP dies in copter crashIPPmedia

all 5

 

9 years ago

Bongo5

Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani

enhanced-7309-1430834722-9

Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.

enhanced-7309-1430834722-9

Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.

Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:

Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.

Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...

 

10 years ago

Michuzi

MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


Pichani ni Mabalozi wa Tanzania Nje ya Nchi Waliotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wa kwanza kushoto ni Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC)

 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh akieleza umuhimu wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC) utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara kutoka Oman na nchi za Ghuba (GCC)   Saeed Saleh Saeed Al Kiyumi (katikati) akizungumza na baadhi ya wajumbe wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani