Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF: Tusichague rais kwa sababu ya ujana

 Naibu Mkurugenzi, Mawasiliano wa CUF, Abdul KambayaVIJANA wanaotaka uongozi hususani nafasi ya urais, wameshauriwa kujenga hoja, kuonesha malezi mazuri waliyo nayo na karama ya uongozi, ili watu wabaini wawachague, badala ya kuegemea kigezo cha rika kuwapatia nafasi husika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

JK anazungumzia ujana rais ajaye kwa matendo au sura?

RAIS Jakaya Kikwete, siku chache zilizopita alikaririwa na vyombo vya habari kutoa kauli iliyotafsiriwa kwamba imewabeba vijana katika kinyang’anyiro kijacho cha kumtafuta rais wa awamu ya tano ya uongozi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mchungaji: Tusichague viongozi kwa itikadi za siasa

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

KANISA la Babtist Tanzania limesema katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu Watanzania wanatakiwa kuchagua kiongozi  mwenye uwezo wa kuwatumikia wananchi bila kuangalia itikadi, kabila wala dini yake.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwangalizi Mkuu wa Makanisa ya Babtist Tanzania, Mchungaji Anord Manase, wakati alipofungua  kongamano la wanawake wa Kibabtisti nchini lililofanyika Chuo Kikuu cha Mount Meru wilayani Arumeru mkoani hapa.

Akizungumza katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ujana wa rais Kikwete umeisaidiaje Tanzania?

RAIS Jakaya Kikwete amerudisha tena mjadala wa  umri kama kigezo cha rais ajaye.  Mjadala huu uliwahi kuibuka huko nyuma. Sikutaka kuandika tena kuhusu kigezo hiki cha umri. Rafiki yangu na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sababu za Mtatiro kung’oka CUF

SIRI ya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba kufanya mabadiliko kwenye kurugenzi zake kwa kumng’oa Julius Mtatiro kwenye nafasi ya Naibu Katibu Mkuu Bara, imefichuka. Vyanzo vya...

 

10 years ago

Habarileo

Siro aeleza sababu CUF kuzuiwa maandamano

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Ernest Mangu.MKUU wa Operesheni wa Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa walikataza maandamano ya CUF kwasababu kulikuwa na taarifa za vitendo vya ugaidi ambavyo vingeweza kuwadhuru.

 

10 years ago

Vijimambo

Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa


Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwaDr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais. 
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa. 
Chanzo: Radio five,...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA NIGERIA ATOA AGIZO LA KUACHILIWA HURU WAFUNGWA KWA SABABU YA CORONA

Rais wa Nigeria atoa agizo la kuachiliwa huru wafungwa kwa sababu ya virusi vya Corona Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amemtaka Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa ambao wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao kwa kwa muda wa miezi sita sasa au zaidi, kama moja ya njia ya kukabiliana na ueneaji wa virusi vya Corona katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.Rais wa Nigeria amenukuliwa akisema kuwa, asilimia 42 ya wafungwa 74,000 wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao, hivyo amemtaka Ibrahim Tanko Muhammad Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa hao na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyangwine: Tusichague viongozi walalamikaji

MBUNGE wa Tarime, Chacha Nyangwine (CCM), amewataka Watanzania kuwa makini katika kuwapitisha au kuwachagua watendaji wachapa kazi badala ya kuwachagua walalamikaji. Nyangwine alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipozungumza na wakazi...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI: SERIKALI HAITAWAFUNGIA WANANCHI MAJUMBANI WALA KULIFUNGA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA SABABU YA CORONA, ASISITIZA WATU KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI ZAIDI HUKU WAKICHAPA KAZI

Rais Dk. Magufuli akizungumza leoKULU, Chato.
Rais Dk. John Magufuli amesema Serikali haitawafungia wananchi majumbani (lockdown) wala kulifunga Jiji la Dar es Salaam ili kuepusha madhara makubwa yanayoweza kuwakumba wananchi na kuathiri uchumi wa nchi, na ametaka Watanzania kuondoa hofu, kuendelea kuchukua tahadhari huku wakiendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na ujenzi wa Taifa.

“Tuwaondoe hofu wananchi, sio ugonjwa huu pekee unaosababisha vifo kwa wananchi, na sio kila anayepoteza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani