Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujana wa rais Kikwete umeisaidiaje Tanzania?

RAIS Jakaya Kikwete amerudisha tena mjadala wa  umri kama kigezo cha rais ajaye.  Mjadala huu uliwahi kuibuka huko nyuma. Sikutaka kuandika tena kuhusu kigezo hiki cha umri. Rafiki yangu na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

CUF: Tusichague rais kwa sababu ya ujana

 Naibu Mkurugenzi, Mawasiliano wa CUF, Abdul KambayaVIJANA wanaotaka uongozi hususani nafasi ya urais, wameshauriwa kujenga hoja, kuonesha malezi mazuri waliyo nayo na karama ya uongozi, ili watu wabaini wawachague, badala ya kuegemea kigezo cha rika kuwapatia nafasi husika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK anazungumzia ujana rais ajaye kwa matendo au sura?

RAIS Jakaya Kikwete, siku chache zilizopita alikaririwa na vyombo vya habari kutoa kauli iliyotafsiriwa kwamba imewabeba vijana katika kinyang’anyiro kijacho cha kumtafuta rais wa awamu ya tano ya uongozi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal amwakilisha Rais Jakaya Kikwete, azindua HALOTEL TANZANIA

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza jambo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, wakati walipokuwa kwenye Hafla ya uzinduzi wa Mtandao mpya wa simu za Halotel Tanzania, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, jana usiku Okt 15, 2015. Picha na OMR

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete awateua mawaziri 8 Tanzania

Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete azungumzia michezo Tanzania

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema aliacha kwenda uwanjani kuiangalia timu ya taifa Stars.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afungua Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania


 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa Mabalozi wa Tanzania unaofanyika katika hoteli ya Ramada jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unajadili kwa kina namna ya kutekeleza dira mpya ya Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania ili kuendana na mabadiliko ya Uchumi na Diplomasia Duniani na kuleta tija nchini. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa Mabalozi wa Tanzania unaofanyika katika hoteli ya Ramada jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unajadili kwa kina namna ya kutekeleza...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tanzania imetulia kwa sera nzuri — Rais Kikwete

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amesema kuwa Tanzania imeendelea kuwa nchi tulivu, yenye umoja na yenye amani kwa sababu ya sera nzuri ambazo zilianzishwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na ambazo zimeendelezwa na viongozi wakuu ambao walimfuatia Mwalimu.

Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kudumisha umoja,mshikamano na utulivu kwa sababu ya kuwa na sera zenye kujumuisha kila mmoja bila kubagua Mtanzania yoyote kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akagua utayari wa Tanzania kukabiliana na Ebola

kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Septemba 9, 2014, amekagua huduma na vifaa, pamoja na maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola, ili kujiridhisha na utayari wa Tanzania dhidi ya tishio kubwa la ugonjwa huo.

Mara tu baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Es Salaam, akitokea Dodoma, Rais Kikwete amekwenda moja kwa moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani