Slaa akosoa uteuzi wakuu wa mkoa
Mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyotangazwa juzi na Rais Jakaya Kikwete yametajwa kuwa na malengo ya kisiasa, huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa akikosoa kitendo cha kuhamishwa vituo vya kazi wakuu hao sita ndani ya mwezi mmoja, kwamba ni gharama kwa Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Rais Magufuli afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu na Kaimu Naibu Kamishn TRA Nchini!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu Ikulu jijini Dar es Salaam jioni ya leo December 30, 2015. Kushoto ni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, na kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakisikiliza kwa makini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.
Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
Katibu Mkuu...
10 years ago
Vijimambo06 Nov
Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu wanne wapya na kuhamisha mmoja.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu...
9 years ago
CCM Blog01 Nov
JK AFANYA UTEUZI MAKATIBU WAKUU WANNE
Aidha, Rais Kikwete amewateua Naibu Makatibu Wakuu wapya watano, amewateua Makatibu Tawala wa Mikoa wawili na pia amewahamisha Naibu Makatibu Wakuu wawili.
Kwa mujibu wa uteuzi huo, Rais Kikwete amemteua Ndugu Hab Mkwizu kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma; Profesa Elisante Ole Gabriel kuwa Katibu...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Wadau waguswa uteuzi wa makatibu wakuu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kN_WkDLMkWQ/VSjLDzv7VjI/AAAAAAAHQRA/KF8uDVqAS-s/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
MKOA WA KAGERA NA UTAMADUNI WA KUWAENZI VIONGOZI WAKUU WALIOUONGOZA MKOA HUO KWA NYAKATI TOFAUTI TANGU UHURU MWAKA 1961
![](http://4.bp.blogspot.com/-kN_WkDLMkWQ/VSjLDzv7VjI/AAAAAAAHQRA/KF8uDVqAS-s/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
MSEMAJI WA SERIKALI: Uteuzi wa Wakuu wapya wa Wilaya uliofanywa na Rais ulizingatia Sheria,Kanuni na taratibu
Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kulia) akionesha kitabu cha Katiba ya Tanzania kifungu kinachompa mamlaka Rais kufanya uteuzi ilikuboresha Serikali yake awapo madarakani. kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Vicent Tiganya. Mkutano huo umefanyika leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Kufuatia vyombo vya habari nchini kuripoti ...
11 years ago
Mwananchi24 Dec
DK Slaa amtaka JK kuwawajibisha wakuu vyombo vya dola nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J-zKARvEC8I/Xuz78Cyxg1I/AAAAAAALuqI/rB93_s0EsGMFjhS7IXPAFkwf8VuHStjVwCLcBGAsYHQ/s72-c/ACCOUNTABILITY%252BPIC.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l6tWNV-nXIU/VInBsy90U6I/AAAAAAADRWs/MgBlh9Z3JCU/s72-c/D92A1171.jpg)
Wakuu wa Mkoa wamtembelea na kumjulia hali Rais Kikwete
![](http://4.bp.blogspot.com/-l6tWNV-nXIU/VInBsy90U6I/AAAAAAADRWs/MgBlh9Z3JCU/s1600/D92A1171.jpg)