Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Slaa ataka DPP atimuliwe

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kumwondoa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), Eliezer Feleshi, kutokana na kuidhalilisha serikali kwa kufungua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

DPP ataka ombi la watuhumiwa ghorofa la Kisutu litupwe

UPANDE wa Jamhuri umeiomba Mahakama kutupilia mbali ombi la marejeo ya amri na uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kubadilisha mashitaka na kufuta dhamana kwa washitakiwa tisa, kwa kuwa halina msingi kisheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa ataka deni la taifa lihakikiwe

SIKU chache baada ya serikali kukiri kupanda kwa deni la taifa ambalo sasa limefikia sh trilioni 27.04, kiasi ambacho kimeanza kuibua mjadala mkali juu ya mwenendo wa uchumi, Chama cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa anguruma, ataka Ukawa iungwe mkono

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuungana na kutetea Rasimu ya Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Raza awang’akia wanaotaka atimuliwe uanachama CCM

>Mwakilishi wa Jimbo la Uzini (CCM), Mohamed Raza Dharamsi amesema hakuna kifungu wala mwongozo wowote wa CCM unaomzuia mwanachama kutotumia demokrasia ya kukosoa ikiwemo muundo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

10 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

11 years ago

In, Pledges Delivery

New DPP sworn


New DPP sworn-in, pledges delivery
Daily News
NEWLY-appointed Director of Public Prosecutions (DPP) Biswalo Mganga was sworn-in yesterday after which he expressed readiness to take up the new challenges and deliver to expectation. “The DPP's duties cannot be executed single handedly.

 

10 years ago

Mramba

DPP pushes for Mgonja


DPP pushes for Mgonja- Mramba-Yona case review
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has asked the High Court to convict Gray Mgonja of abuse of office and occasioning loss charges and order Basil Mramba and Daniel Yona to pay compensation of over 11.7bn/- to the government. In his written ...

 

11 years ago

Habarileo

Rais ateua DPP

RAIS Jakaya Kikwete amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP).

 

11 years ago

TheCitizen

DPP files objection against nine

The Director of Public Prosecutions (DPP) has filed a preliminary objection at the High Court against an application by nine persons accused of murder allegedly linked with the building that collapsed in the city centre early last year.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani