SNP yazoa viti 56 kati ya 59 Scotland
Chama cha SNP kilichopata umaarufu baada ya kura ya maoni ya kujitenga kiliandikisha ushindi wa viti 56 kati ya 59 nchini Scotland.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Chadema mjini Iringa yazoa viti 14 vya Udiwani
CHADEMA in Iringa Urban Constituency has raised from ashes by scooping 14 wards in this year general elections as compared to last general elections in 2010 when they got only one ward out of 18, the SIMBAYABLOG has discovered.
Chadema in 2010 general elections had only one ward but in this year general elections have managed to get 14 wards out of 18 total wards in the Iringa Municipality.
In the well-contested general elections 2015 CCM has managed to retrieve only four wards out of 18...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...
10 years ago
Vijimambo12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-p35l6gt1wTg/VIsCBs2DETI/AAAAAAAAsAc/09TD7AyRAG0/s1600/akisalimia%2Bwenyeji.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Q6du6HJbrXg/VIsCMCd63OI/AAAAAAAAsA8/JjMf1_V_1bM/s1600/mashabiki%2Bwa%2Bccm.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-kbQPDHu-riY/VIsCKPhtnMI/AAAAAAAAsA0/rA1YktzWhOE/s1600/mashabiki%2Bwa%2Bccm%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iDc9LJBv3d0/VIsCDN96E9I/AAAAAAAAsAk/CN21fp_tq8U/s1600/baada%2Bya%2Bkuwasili.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HNlvstP8i8Q/VIsCHo47LuI/AAAAAAAAsAs/f3HGzwRKlWg/s1600/lwiza%2Bmbutu%2Bna%2BTwanga%2Bwakikamua.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
9 years ago
Habarileo28 Oct
CCM yazoa majimbo manne Katavi
WAKATI matokeo ya Jimbo la Kavuu mkoani Katavi yakisubiriwa kutangazwa leo, tayari CCM imeshinda katika majimbo mengine manne mkoani humo.
9 years ago
Habarileo30 Oct
CCM yakomboa majimbo 13, yazoa 188
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeyarejesha mikononi majimbo ya uchaguzi 13 yaliyokuwa kwenye mikono ya vyama vya upinzani, huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikichukua majimbo 16 yaliyokuwa mikononi mwa chama tawala miaka mitano iliyopita.
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
CCM Meatu yazoa viongozi wa CHADEMA
-Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema
-Lugaila Madama aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kata ya Mwandoya arudi CCM
-Miyeye Robert aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kata ya Kisesa arudi CCM
Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi.
Mwenyekiti wa Vijana mkoa wa Simiyu na MNEC wa Itilima Ndugu Njalu Silanga...
11 years ago
Mwananchi28 Dec
CCM yazoa wanachama wapya wilayani Temeke
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ugLAUV7nE64/VHNNZ1Wf6nI/AAAAAAAATyI/hR1_xjijYxc/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA JIMBO LA LULINDI YAZOA WAPINZANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ugLAUV7nE64/VHNNZ1Wf6nI/AAAAAAAATyI/hR1_xjijYxc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sbFlHCUb6T8/VHNNgWeKgOI/AAAAAAAATzE/LfZtm475DzM/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gO8-nSq34XQ/VHNNhVsGE1I/AAAAAAAATzQ/bqfwneGjeak/s1600/4.jpg)