Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOCCER: Five-star Yanga crush Platinum

Young Africans are one foot in the next round of the CAF Confederation Cup after annihilating Platinum FC of Zimbabwe 5-1 at the National Stadium yesterday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

SOCCER:Pluijm ignores Platinum FC’s mind games

Coach Hans Van Pluijm has refused to rise to Norman Mapeza’s mind games ahead of CAF Confederation Cup match between Young Africans and Platinum FC in Harare, Zimbabwe.

 

10 years ago

GPL

YANGA YAICHABANGA PLATINUM 5-1

Wachezaji wa Yanga wakishangilia mojawapo ya mabao yao. Simon Msuva akiichambua ngome ya Platinum. Amissi Tambwe akipambana na mabeki wa FC Platinum wakati wa mechi ya leo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaichakaza Platinum

Yanga imepiga hatua moja kuifuata Etoile Sahel ya Tunisia baada ya kuichakaza Platinum ya Zimbabwe kwa mabao 5-1 na kujiweka katika mazingira mazuri ya kusonga mbele kwa hatua ya pili ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaipania Platinum

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa ‘Master’ amesema wako tayari kucheza uwanja wowote na Platinum hata kama ni jangwani katika mchezo wao wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Jeshi la Yanga SC laishukia Platinum

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanashuka uwanjani leo kuikabili Platinum ya Zimbabwe katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.

 

10 years ago

Vijimambo

30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano



Na Bertha Lumala, Dar es SalaamMsafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, katika mahojiano na mtandao huu jijini hapa muda mfupi uliopita, amesema kikosi chao kilichopiga kambi jijini hapa, kitasafiri kuwafuata wapinzani hao Aprili Mosi, yaani Jumatano.
Amesema kila kitu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaitumia salamu Platinum FC

Yanga ya Tanzania imeitumia salamu timu ya Platinum FC ya Zimbabwe kufuatia ushindi mfululizo katika ligi kuu ya Tanzania Bara.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga plot Platinum ambush

Kampala. A key trial in Uganda of 13 men accused of taking part in Al-Shabaab bombings that killed 76 people in 2010 was postponed Tuesday after the top prosecutor was shot dead.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yatamba kuifunga Platinum FC

Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm amesema hawatabweteka na ushindi wa awali wa 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani