Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sophia Mwasikili awasifu wenzake

Nahodha Sophia Mwasikili amewasifu wachezaji wenzake kwa kufuzu kucheza fainali za Michezo ya Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RC KILIMANJARO AWASIFU WAANDAAJI WA BONANZA LA MADESHO DAY

Timu ya Ushrika wakijandaa kuvuta kamba katika bonanza la kumbukumbu ya Mwenyekiti wa kwanza wa klabu ya Moshi veterani Marehemu Madesho Moye.  Kikosi cha wachezaji wa timu ya Kitambi noma.  Wachezaji wa timu ya Moshi eterani wakiongozwa na nahodha wao mpya aliyesajiliwa katika kipindi hiki cha dirisha dogo,Amosi Makala ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakinyoosha kabla ya kuanza mpambano.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Michuzi

Msanii wa Komedy wa Nigeria awasifu wasanii wa Tanzania

MSANII wa vichekesho (komedy) kutoka Nigeria,Okopcha Bright Onyekere maarufu kama Basket Mouth amewasifu wasanii wa Tanzania kwa juhudi wanazofanya kuelimisha jamii kutumia vipaji vyao.
Akizungumza Dar es Salaam jana baada ya kuwasili kutoka Nigeria kwa ajili ya onesho maalum kushirikiana na wasanii wa Tanzania juzi Dar es Salaam alisema kutoka aanze sanaa ya vichekesho miaka 16 iliyopita amekuwa akipata sifa za wasanii wa Tanzania wakiwika katika fani za muziki, sanaa za filamu, ...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Ben Pol — Sophia

Huu ndo wimbo ambao ulikuwa unasubiliwa kwa hamu kutoka kwa Ben Pol wimbo unaitwa “Sophia” Producer Mswaki

 

10 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Migiro, Sophia Simba tofautianeni na ‘mizigo’

NIANZE makala hii kwa kusema ‘mawaziri wa Wizara ya Sheria na Katiba, na Maendeleo ya Jinsia, Wanawake na Watoto, onyesheni kwa vitendo kuwa nyie ni wanasiasa wachapakazi; na hivyo jitofautisheni...

 

11 years ago

Mwananchi

Werema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni

>Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba nusura wapigane baada ya kupishana kauli wakati wa mjadala wa ndani ya Kamati Namba Sita inayoongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira.

 

9 years ago

Bongo Movies

Ninamkubali Uwoya kwa Sanaa Yake- Sophia

SOPHIA Mohamed mwigizaji wa kike kutoka Bongo Movie anafunguka kuwa anamkubali sana mwigizaji wa kike Irene Uwoya kwa uigizaji wake siyo kwa sababu anafananishwa naye katika muonekano na uigizaji wake, na anafurahia kufanishwa na msanii mwigizaji mahiri na mwenye uwezo.

“Namkubali sana Irene Uwoya siyo kwa sababu nafananishwa naye hapana bali namkubali sana Irene Uwoya kwa ajili ya uigizaji wake katika kuvaa uhalisia na ndio nafananishwa naye nikiigiza wengi wanaona kama Irene inatia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani